Jamani wanaJF me naomba tuanzishe mpango mmoja huu

Najua...kaka yangu naye yupo katika situation kama hii

Anasema hapendi kuosha vyombo ila kupika anaona sio tabu
Yeye ameamua kuacha kupika kabisa sababu ya uvivu wa kuosha vyombo
Huu uvivu unakuwa faida kwa mamantilie[emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…