Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
Sawa baby wangu mpenzi uchekae kibinadamu
😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa baby wangu mpenzi uchekae kibinadamu
Kuna siku ilikuwa weekend, nikanywa chai mida ya saa 5 asubuhi.Kabisa[emoji28]
Utabili wako ukienda sawa, sitakubali aseee,Teh!
Sasa wakikutana tena wanapigwa viwili tu
Kuna siku ilikuwa weekend, nikanywa chai mida ya saa 5 asubuhi.
Baada ya hapo nikaanza kuchati humu JF ikafika saa tisa, nikaona uvivu kupika, nikaamua kwenda gengeni, kufika nikakuta menu imeisha.
Hapo hapo nikaeleke bandani kucheki mechi ya marudiano baina ya Simba na TP Mazembe, usiku nilipika fast maana mchana sikula huku nikipata advantage ya kusave bajeti[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Msamaha huambatana na kuku na mchele kilo moja😴Tusamehe mkuu
Utabili wako ukienda sawa, sitakubali aseee,
Ugonjwa kama depression unapunguaKwani mshahara ukipanda magonjwa yanashuka?
We na klopp mutakuwa mumebet mkeka mmoja, kauza mechi mzee baba.Utamshitaki Klopp e?
Hahaha hahahaM
Msamaha huambatana na kuku na mchele kilo moja[emoji42]
Teh!We na klopp mutakuwa mumebet mkeka mmoja, kauza mechi mzee baba.
Ebu acha zarau mkuu...[emoji53][emoji53][emoji23][emoji23][emoji23]...Na hawa ndo wanaume wetu wakitanzania...
Njoo na sufuria na mkaa jiko lipoHahaha hahaha nije na sufuria na jiko kabisaaa
Sawa MkuuNjoo na sufuria na mkaa jiko lipo
Asante ndugu mjumbe wa awamu ya roho mbaya....[emoji53][emoji53][emoji53]Vumilieni mshahara utaongezwa tuu, kabla hajatoka madarakani!
Hahaha hahaha hahahaAsante ndugu mjumbe wa awamu ya roho mbaya....[emoji53][emoji53][emoji53]
Hahaha hahaha hahaha
Subira yavuta kheri wewe mkenya!
Mwenyewe[emoji849][emoji849]When the shit hit the fan.....[emoji23][emoji23]
Hiyo ishakuwa sheria[emoji3][emoji3][emoji3]Na vyombo kama kawaida vikasahaulika baada ya kutibu njaa [emoji16]
Mungu anakuona.....[emoji23][emoji23]Mwenyewe[emoji849][emoji849]