Jamani wananwake wengine tabu Tupu.

Jamani wananwake wengine tabu Tupu.

Kama amevumilia siku arobaini basi atavumilia siku saba.
 
makosa yalitendeka tokea mwanzo, siwezi kuamini kwamba house girl na mke wa rafiki yako hawawezi kumuangalia mtoto
hakukuwa na sababu yeyote ya msingi mke kwenda kukaa kwa mama yake wakati kuna house girl ndani ya nyumba
watu wanakuja kazini wanatoa story za mtoto anavyolia usiku na experience ya siku za mwanzo za mtoto lakini huyo jamaa yako hajui kitu (hana hiyo experience ya mtoto ya siku za mwanzo) ni makosa hayo siku ingine mtoto akizaliwa akae nae

You have said it all Semilong!

Ok mkuu kwa ushauri wako.lakini huoni kuwa anachotaka sasa ni kumrudisha nyumbani ili aexperience hizo za kulia kwa mtoto usiku?lakini anakumbana na kipingamizi hicho mpaka anaogopa nini kulikoni mama mkwe kuingile mahusiano ya wawili badala ya kumruhusu arudi kwake tena siyo kwenye nymba ya kupanga yake.au ndo maadili ya kitchen party? Ndo maana kuna kipindi niliulizia umuhimu wa kitchen party ni baada ya huyu jamaa kuniambia majibu aliyoambiwa na mkewe kutoka kwa mama mkwee

Ha!ha!ha!...umeshakosa experience za kusinzia kibaruani siku za mwanzoni.....!
icon10.gif
 
makosa yalitendeka tokea mwanzo, siwezi kuamini kwamba house girl na mke wa rafiki yako hawawezi kumuangalia mtoto
hakukuwa na sababu yeyote ya msingi mke kwenda kukaa kwa mama yake wakati kuna house girl ndani ya nyumba
watu wanakuja kazini wanatoa story za mtoto anavyolia usiku na experience ya siku za mwanzo za mtoto lakini huyo jamaa yako hajui kitu (hana hiyo experience ya mtoto ya siku za mwanzo) ni makosa hayo siku ingine mtoto akizaliwa akae nae

Umesema kweli kabisa Semilong, kwani operation ni nini? Je kama mama yake angekuwa mbali angeenda wapi? si angebaki hapo kwake na mume wake na mtoto,wangapi tunawaona wanajifungua kwa operation na wanatunzwa vizuri tu na waume zao? Kwa mtazamo wangu hayo yote jamaa aliyataka,yeye angebaki na mke wake nyumbani walee mtoto apate experience hivi akikaa na wanaume wenzake wakaanza kuhadithiana jamani leo hatukulala mtoto alikua analia kweli yeye atahadithia nini?
 
Kwa jinsi nilvyoipitia iyo story.,Naona jamaa ana WIVU.Ushauri wangu jamaa awe na amani tu na kufikilia jinsi ya kutafuta pesa ya kumlea mtoto kwani kwa muda huu uyo mama sidhani kama anaweza fanya lolote..,cheatings"
 
Mianaume mingine tabu tupu sasa mkeo kakaa kwao siku 40 ulivumilia siku 7 zinakushinda? mkeo kakwambia alienda sokoni na mama mkwe pia alikwambia hivyo kabla sasa tatizo liko wapi? ndio maana utaona nyumba nyingi anafariki mume mama anabaki kwa waume kujipa pressure za ajabu.
 
Back
Top Bottom