Mwambie huyoUna hofu mingi blaza utakufa bure ...
Nilichogundua mapenzi na izo drama ni upotezaji wa mda,mapenzi ni kama utajiri na umasikini sio jambo la kila mtu ukijua haupo uko tafuna hizo mbususu na usepe tu hizo drama ni kwa watu wenye matatizo ya akili refer MAPENZI NI UGONJWA WA AKILI!!!Simu haina charge nikifika kama kuna umeme nitakupigia (umeliwa)
Naenda kumsalimia Shangazi sema kwake hakuna umeme (umeliwa)
Leo nawahi kulala kesho jumuia (umeliwa)
Unatumiwa good night saa moja usiku(umeliwa)
Jana nilipitiwa na usingizi simu ilikua silent (Umeliwa)
Asante kwa kututonya.Simu haina charge nikifika kama kuna umeme nitakupigia (umeliwa)
Naenda kumsalimia Shangazi sema kwake hakuna umeme (umeliwa)
Leo nawahi kulala kesho jumuia (umeliwa)
Unatumiwa good night saa moja usiku(umeliwa)
Jana nilipitiwa na usingizi simu ilikua silent (Umeliwa)
Basi uzi ufungwe tu sasa. Eti mtu ameenda kugawa mbususu yake huko kwa maamuzi yake mwenyewe kabisa wewe huku unahangaika; why? Hata kama ungemfungia ndani na funguo ukaondoka nazo kama ni wa kuchapwa nje atachapwa tu. Ukishavuka 40 tu huko unaanza kuona mambo haya kuwa ni utopolo tu na hayakupotezei muda tena....Yana umri wake hayo, ukishakufikisha zaidi ya 45, 47, 48.............50 na kiendelea wala hata huna muda nayo hayo, ni mwendo wa kupasua kichwa miradi yako uikazanie namna gani ili izidi kunenepa kwa faida hasa ya wale uliowaleta duniani
Exactly!!Basi uzi ufungwe tu sasa. Eti mtu ameenda kugawa mbususu yake huko kwa maamuzi yake mwenyewe kabisa wewe huku unahangaika; why? Hata kama ungemfungia ndani na funguo ukaondoka nazo kama ni wa kuchapwa nje atachapwa tu. Ukishavuka 40 tu huko unaanza kuona mambo haya kuwa ni utopolo tu na hayakupotezei muda tena....
#KuchapiwaHakuepukiki
#KitandaHakizaiHaramu
#Kuchapiwanisiriyandani
Itakua mtoa mada analiwagwa.Sasa hapo nimeliwa mimi au ameliwa huyo demu?
Umeliwa[emoji2960][emoji23][emoji23]
Naendelea kusoma comments