EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Siku nyingine usitumie neno JAMANI kama ni MWANAUME [emoji35][emoji35][emoji35]
Uwaambie na wenzako!!
Uwaambie na wenzako!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi demu yeyote akinipa moja kati ya hii mistari namfuta kwenye contacts zangu na kumblock jumlaSimu haina charge nikifika kama kuna umeme nitakupigia (umeliwa)
Naenda kumsalimia Shangazi sema kwake hakuna umeme (umeliwa)
Leo nawahi kulala kesho jumuia (umeliwa)
Unatumiwa good night saa moja usiku(umeliwa)
Jana nilipitiwa na usingizi simu ilikua silent (Umeliwa)
Nakuunga mkono kwa asilimia 10000Siku nyingine usitumie neno JAMANI kama ni MWANAUME [emoji35][emoji35][emoji35]
Uwaambie na wenzako!!