Unanchekesha,toka lini bata akafundishwa kuogelea?Bishanga, ha ha ha, unadhani mie muoga kama wewe?
Afu nina mbinu mbadala za kufa mtu.
Ngoja nikupe hizi 2
usiende gest yeyote chagua kama 9, ambazo wahudumu wanakuwa marafiki
hakikisha chumba unachochukua madirisha yanaruhusu kupita na kusepa.
Hakikisha chumba unachochukua sehemu ya dari inaruhusu kupita na kutokea resepsheni juu kwa juu.
Ntakupa zingine badae.
Hapo Yugoslacia nilipita transit tu, Airport yao ukismile na wafanyakazi wao wanakufanyia discount ya cargo dola 2. Halaf ukivaa flana imeandikwa milosevic wanapunguza 2 nyengine. Wamejitaidi sana
Network hazikamati ukimaanisha mboli hazisimami, siyo?
Na wanawake ambao ni wakavu huko chini je?
Huyu anaongea nini?Kwan kuna jinsia ngapi?au unataka kuongeza ya kwako?
ushashusha munkari? maana ulinikimbiza nilihisi kuna mtu unataka umtoboe jicho.