Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,221
- 2,930
Hahahaha!nimempendaje huyo dada!japo Ndyoko unahic ni udhalilishaji but hiyo ni mojawapo ya kumjua jamaa km anapiga kazi za nje hasa akiwa safari!na wanawake wengi waliowahi kupata mafunzo au hata kuckia mtu akifundwa huwa wanapewa na teknic mbali mbali za kuwagundua sema wengi huwa hawapendi kujipa strec wanapotezea tu!kwa taarifa yenu huwa mnajichoresha sn mnapokuja na mshawasha wa kujidai mmemic hiyo kiku kumbe mwenzio keshajua janja yako anakutizama tu,pole zake aache game za nje mdada mjanja huyo lol
Google