Jamani wandugu nisaidien

Jamani wandugu nisaidien

Kila jambo lina gharama zake. Zipo gharama zinazoweza kubebeka, na zipo zisizobebeka. Kama unaona kumwacha mmoja utakuwa haujatenda haki, ilitakiwa wazo hilo uwe nalo kabla haujamtongoza huyo mwingine, so mm nakushauri kubali kuonekana mbaya kwa wote halafu nenda kajichukulie kifaa kingine mbali na hapo ili kulinda heshima yako, or subiri wajuane ili uchafue zaidi jina lako.

Hawezi kuchafua jina lake wewee!
 
Give unto Caesar What belongs to Caesar! Its up to you choose.
 
Kwan ulikutana nao wote wawili kwa mara moja? Ulitafuta wa pili baada ya kuona wa kwanza hakutoshi, so kwanini usiendelee nao wote wawili!! HAlafu unasema wote wawili wanakupenda, sasa kwani wewe unampenda zaidi yupi? kama unawapenda wote sawa basi chukua wote weka ndani!
 
Back
Top Bottom