Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa form six mzima unakuwa hujui vitu kama hivo kweli khaaa,Ninaye classmate Wangu jaman yeye kachaguliwa bachelor of laboratory science and technology na education ya science.
Sasa hajui aendako ni wapi kaniomba ushauri na mimi nimeleta kwenu wana JF
😅😅😅Aliomba ambacho hakijui au ni Utovu wa Nidhamu wa kijana mwenzio wa form 6,,,jitahidini muwe mnapevuka na Akili,,,Mbona mademu mnaselekti poa Tu,,,,miziki,,,mavazi nk,,kwanini mshindwe seleksheni za mambo ya msingi zaidi ya shule
HAPO ndo shidaAliomba ambacho hakijui au ni Utovu wa Nidhamu wa kijana mwenzio wa form 6,,,jitahidini muwe mnapevuka na Akili,,,Mbona mademu mnaselekti poa Tu,,,,miziki,,,mavazi nk,,kwanini mshindwe seleksheni za mambo ya msingi zaidi ya shule
😂😂Hii ningemtumia mdogo wetu Mmoja angeninyamazia mwaka😂😂😂Aliomba ambacho hakijui au ni Utovu wa Nidhamu wa kijana mwenzio wa form 6,,,jitahidini muwe mnapevuka na Akili,,,Mbona mademu mnaselekti poa Tu,,,,miziki,,,mavazi nk,,kwanini mshindwe seleksheni za mambo ya msingi zaidi ya shule
Mtu akiomba ushauri afu ukimjibu hv itabidi ukae nae chini uumpe ushauri ili apoe kutokana na haya maneno afu tena ndio umpe ushauri la tatizo lake.Aliomba ambacho hakijui au ni Utovu wa Nidhamu wa kijana mwenzio wa form 6,,,jitahidini muwe mnapevuka na Akili,,,Mbona mademu mnaselekti poa Tu,,,,miziki,,,mavazi nk,,kwanini mshindwe seleksheni za mambo ya msingi zaidi ya shule
Kwan ualimu una shida kama mtu anaenda chuo kusoma sociology na hamumpond ka mnavoponda ualimUalimu asisome atajuta hadi kifo
Sociology ? 🤣 si bora ualimu sasaKwan ualimu una shida kama mtu anaenda chuo kusoma sociology na hamumpond ka mnavoponda ualim