Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiangalie Jina tu, lakini hiyo simu nzuri wamejitahidiHivi Tecno ni simu au kibebea line!!
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
Dooh tabu iko pale pale....Nimeambiwa 1.2 or around hapo
huwezi kutenganisha baridi na dear[emoji23] kazi ipo, kwani baridi inahusikaje tena
Tecno kwa kurudufu ni mabingwa hii si s10 plus hii?🤔
Simu ni chache sana duniani sisi wengine tunatumia vibebea line! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]Usiangalie Jina tu, lakini hiyo simu nzuri wamejitahidi
Ooh wacha nikapitie[emoji848]jannelle utapigwa vizuri sana.Kwa kukusaidia soma huu uzi. Naomba kujuzwa bei ya Phantom X
Haya mambo ya technolojia yanahitaji darasa refu kwanza kabla ya kuyakimbilia,tofauti na hapo utakuwa unapigwa kirahisi sana.