jamaniii nitapataje mzungu?


Nasikia hawa jmaa bila Tigo hakieleweki. Aaaaaaaaaaaaa youuuuuuuuuuuu.................... reeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeedy????????????..... sema nikupe pa kuanzia.
 
my love me handsome boy and hometown kasulu kigoma
 


wee sister unanichekesha sana,mzungu wa nini na waafrica wamejaa kibao??unataka hela za bure??
 

husiangaike we cheki na mm nitakufaa hutajutia milele!
 
Aise noma, njoo mie nami na mchiz wangu muitaly anatafut demu wa kibongo ila uwe tayari kuishi sudan ya kusin. Sema ukoje nikuunganishe nae
 




Mzungu mweusiiii wewe?

Au kwa sababu umelala na demu mzungu unajiita mzungu?

My take:
Pauline kuna jamaa aliniambia sometym watu huenda out of their minds ,hasa ukiwa ughaibuni.nadhani you are out of your senses.

Ili kuenjoy vyote chukua chotara ,ndiye mimi.
Nipm next vacation Nitakufuata ulipo.
 
mbona ulimkubali sasaaaaaa au hukujua atakuwa nalo?:becky::becky::becky: mie govi halitanisumbua nasikia kny majamboziii akilivuta akamtoa nyoka pangoni anakuwa wa motooooooooooooooooooooo kama mgonjwa wa homa:becky:

JF inageuka U turn ! Mmmmh hold on girls can we talk about dis in girls' out tukiwa na glasses za wine n sexy dresses!
 
mbona ulimkubali sasaaaaaa au hukujua atakuwa nalo?:becky::becky::becky: mie govi halitanisumbua nasikia kny majamboziii akilivuta akamtoa nyoka pangoni anakuwa wa motooooooooooooooooooooo kama mgonjwa wa homa:becky:

Ama kweli una expeerince na hiyo kitu........Jitahidi uende club za huko uliko, unaweza ukabahatika kumpata mmoja. Ila wadada mna kazi saana. Nakumbuka nilikuwa nasoma nchi moja hv ya baridi saana, nilipoenda nikakutna na MTZ mdada kabanwa kweli na mambo fulani, by the way nilimshtukia mapema.

Aliniambia kuwa ana kama miezi miwili hv, kila akijaribu kutafuta m/me wa kizungu anashindwa. Kidume nilipoenda kama kawa nikachakachua mzigo fasta ila kumsitiri MTZ mwenzangu..........

so kazi kwako kwa mijanaume ya kizungu ni kazi ngumu ila jitahidi.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…