mzee wa mazabe
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 843
- 627
Habari ya siku nyingi sana wanajamvi wenzangu,nimepita hapa Dodoma kikazi kiukweli sijaelewa mji mzuri kama huu unakosa stendi ya Dala dala,katika kuuliza nikaambiwa pale jamatini ndipo dala dala zote zilikuwa zinaishia pale lakini tatizo ni moja kuna watu wawili wanatunishiana misuri ambao ni Mkurugenzi wa Jiji na Boss mmoja wa Railway,kiukweli watu wanateseka kwa ujinga wa watu hawa(Tasisi hizi mbili)badala ya kufikilia maendeleo ya jiji la Dodoma wao wanafilia mambo yao,inakuwaje stendi ipo tayari na kila kitu kipo lakini haitumiki?naamini watu wa Dodoma watakuja hapa kutujuza vizuri.