Tetesi: Jamatini Dodoma na kituo cha Daladala

Tetesi: Jamatini Dodoma na kituo cha Daladala

mzee wa mazabe

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2016
Posts
843
Reaction score
627
Habari ya siku nyingi sana wanajamvi wenzangu,nimepita hapa Dodoma kikazi kiukweli sijaelewa mji mzuri kama huu unakosa stendi ya Dala dala,katika kuuliza nikaambiwa pale jamatini ndipo dala dala zote zilikuwa zinaishia pale lakini tatizo ni moja kuna watu wawili wanatunishiana misuri ambao ni Mkurugenzi wa Jiji na Boss mmoja wa Railway,kiukweli watu wanateseka kwa ujinga wa watu hawa(Tasisi hizi mbili)badala ya kufikilia maendeleo ya jiji la Dodoma wao wanafilia mambo yao,inakuwaje stendi ipo tayari na kila kitu kipo lakini haitumiki?naamini watu wa Dodoma watakuja hapa kutujuza vizuri.
 
mkuu siyo stendi ya daladala tu, umeshafika nanenane stendi kuu? pote ni vuluvulu tu.
 
Dodoma ya watanzania...

Miumdombinu inajengwa.. usihofu.
 
acheni majungu ,jiji limetulia kabisa jiji la kisasa makao makuu ya nchi yetu pendwa
 
acheni majungu ,jiji limetulia kabisa jiji la kisasa makao makuu ya nchi yetu pendwa
acheni majungu ,jiji limetulia kabisa jiji la kisasa makao makuu ya nchi yetu pendwa
Mkuu unadhani majungu labda uwe kipofu maana lile eneo ambalo ilikuwa stand ya daladala si lipo wazi kama imeshindikana basi tuwape hata boda boda/Tax wawe wanapaki jiji lipate mapato lakini si kwa kukaa bila activity.
 
Mkuu unadhani majungu labda uwe kipofu maana lile eneo ambalo ilikuwa stand ya daladala si lipo wazi kama imeshindikana basi tuwape hata boda boda/Tax wawe wanapaki jiji lipate mapato lakini si kwa kukaa bila activity.
karibu chato uwekeze mkuu,upepo umehamia huku achana na kina ndu gay huko kwa wagogo
 
Mkuu unadhani majungu labda uwe kipofu maana lile eneo ambalo ilikuwa stand ya daladala si lipo wazi kama imeshindikana basi tuwape hata boda boda/Tax wawe wanapaki jiji lipate mapato lakini si kwa kukaa bila activity.
Umesema UKWELI kabisa. Ramani ya SGR imeishabadilika. Ni vizuri tuangalie maamuzi yaliyofanywa huko nyuma kuhusu maeneo haya hasa stand ya daladala.
 
kwanza tumalize chato nyie wagogo vipi kura mtatoa ka ccm mutake musitake lakini miradi yote mikubwa ni chato kwa sasa
 
Tangu 2004 Napajua Hapo Kama Stand Ya Daladala
Toka Veyula Wakati Huo, Sasa Zama Zimebadilika Siyo Kila Homa Ni Malaria Ndiyo
 
Tangu 2004 Napajua Hapo Kama Stand Ya Daladala
Toka Veyula Wakati Huo, Sasa Zama Zimebadilika Siyo Kila Homa Ni Malaria Ndiyo
Nimeakuelewa mkuu,na kweli siyo kila Homa ni Malaria zingine ni Dengue😀😀
 
Habari ya siku nyingi sana wanajamvi wenzangu,nimepita hapa Dodoma kikazi kiukweli sijaelewa mji mzuri kama huu unakosa stendi ya Dala dala,katika kuuliza nikaambiwa pale jamatini ndipo dala dala zote zilikuwa zinaishia pale lakini tatizo ni moja kuna watu wawili wanatunishiana misuri ambao ni Mkurugenzi wa Jiji na Boss mmoja wa Railway,kiukweli watu wanateseka kwa ujinga wa watu hawa(Tasisi hizi mbili)badala ya kufikilia maendeleo ya jiji la Dodoma wao wanafilia mambo yao,inakuwaje stendi ipo tayari na kila kitu kipo lakini haitumiki?naamini watu wa Dodoma watakuja hapa kutujuza vizuri.
Mkurugenzi wa jiji ndiye tatizo. Lile ni eneo la shirika la Reli, lakini uongozi wa jiji unataka kuchukua mapato yote bila shirika la Reli kupewa chochote kama wamiliki wa eneo. Wewe ungekubali kuachia mapato toka kwenye eneo lako?!
 
Mkurugenzi wa jiji ndiye tatizo. Lile ni eneo la shirika la Reli, lakini uongozi wa jiji unataka kuchukua mapato yote bila shirika la Reli kupewa chochote kama wamiliki wa eneo. Wewe ungekubali kuachia mapato toka kwenye eneo lako?!
Kama ndivyo hivyo kwanini wenye mamlaka wasilichukue wabadilishe matumizi ya eneo,mbona kwenye mashamba tunaona wanayachukua wanabadilisha matumizi na umiliki?!!
 
Habari ya siku nyingi sana wanajamvi wenzangu,nimepita hapa Dodoma kikazi kiukweli sijaelewa mji mzuri kama huu unakosa stendi ya Dala dala,katika kuuliza nikaambiwa pale jamatini ndipo dala dala zote zilikuwa zinaishia pale lakini tatizo ni moja kuna watu wawili wanatunishiana misuri ambao ni Mkurugenzi wa Jiji na Boss mmoja wa Railway,kiukweli watu wanateseka kwa ujinga wa watu hawa(Tasisi hizi mbili)badala ya kufikilia maendeleo ya jiji la Dodoma wao wanafilia mambo yao,inakuwaje stendi ipo tayari na kila kitu kipo lakini haitumiki?naamini watu wa Dodoma watakuja hapa kutujuza vizuri.
Uzi
 
Kama ndivyo hivyo kwanini wenye mamlaka wasilichukue wabadilishe matumizi ya eneo,mbona kwenye mashamba tunaona wanayachukua wanabadilisha matumizi na umiliki?!!
Watu kila siku wanavunjiwa majumba yao kwa kujenga sehemu kimakosa, wewe unasema wabadilishe matumizi.Jiji hawakujua kuwa hilo halikuwa eneo lao? Kama ni stendi ipo sabasaba, a walking distance from Jamatini. Sidhani kama jiji hawana fedha kuboresha stendi hiyo.
 
Watu kila siku wanavunjiwa majumba yao kwa kujenga sehemu kimakosa, wewe unasema wabadilishe matumizi.Jiji hawakujua kuwa hilo halikuwa eneo lao? Kama ni stendi ipo sabasaba, a walking distance from Jamatini. Sidhani kama jiji hawana fedha kuboresha stendi hiyo.
Hapo saba saba nilifika yaani nikashangaa sana kama kuna watu wapo ofisini wanazunguka zunguka na viti wakisema pale ndiyo stand ya daladala,Mhe Rais Daktari John Pombe Mgufuri anajitaidi sana kwenye maendeleo ya wananchi lakini nadhani wasaidizi wake awamuelewi anataka Tanzania ya aina gani,saba saba kuna vumbi ukishuka utadhani sijui unatoka kijiji gani au umefika kijiji gani,kwa mtazamo wangu sidhani kama Mhe.Rais anajua hii shida na kwakuwa vijana wake uwa wanapita pita sana uku wajaribu kumwambia kwakweli
 
Back
Top Bottom