sulphadoxine
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,257
- 649
Kuna jamaa kanipigia simu sasa hivi kuwa kuna jambazi anachomwa, maeneo ya Tegeta (mkanada).Kwa waliopo maeneo hayo naomba watujuze zaidi.
Uptodate:
Watu wa ITV washafika eneo la tukio wanaendelea kuchukua picha,za matukio,jamaa ambaye alikuwa ananipa taarifa sasa hivi apatikani,naendelea kufuatilizia kwa watu wengine waliopo jirani na huko.
Uptodate:
Watu wa ITV washafika eneo la tukio wanaendelea kuchukua picha,za matukio,jamaa ambaye alikuwa ananipa taarifa sasa hivi apatikani,naendelea kufuatilizia kwa watu wengine waliopo jirani na huko.