Jambazi ageuka Mbuzi Naigeria!!

Jambazi ageuka Mbuzi Naigeria!!

Uchawi upo, hata misahafu yote inathibitisha. Huyo mbuzi wangempeleka machinjioni, wangeona anakuwa mtu kuogopa kuchinjwa. Polisi si walimlisha?

Leka
 
Mambo haya yapo uchawi upo na haujaanza leo hata kama akisema eti ulaya haupo ni mwongo wazungu wengi tu ni wachawi na Neno la Mungu linathibisha hayo.Kwa habari za wachungaji wenye Biblia inasema wewe ndio unatakiwa kuwa makini na kama HUJAOKOKA ni lazima udangaywe tu
 
Wana igeria nomaaaa... si hata ma-movie yao yana mauchawi kibao
 
Ha ha ha ha hivi mbona vituko hivi vya kishirikina ulaya hatuvisikii au ndio kwamba technologia hii iko Africa tu

Mambo ndo yako hivyo rafiki, Africa sijui kwanini. Yaani ushirikina ni mojawapo ya mambo yanayotufanya Afrika tuendelee kubaki nyuma kimaendeleo. Kuna sehemu zingine mtu akiwa na biashara yake nzuri akitaka kufanya kitu cha maendeleo e.g kujenga nyumba nzuri, kusomesha watoto wake ataumwa nusura ya kufa. Na wengine ndo hivyo biashara zao haziendi mpaka wameenda kwa akina Kalumanzila, masharti kibao akikiuka tu aidha afe au utajiri utoweke. Na mara nyingi pia huambatana na kuwatoa kafara watu wa karibu mfano watoto wakati mwingine hata wenzi wao (mume/mke). May GOD redeem African from satanism.
 
Wana igeria nomaaaa... si hata ma-movie yao yana mauchawi kibao

Yaani si Nigeria tu, West Africa kwa ujumla kwa uchawi ni balaa. Jamaa mmoja alisema kuwa huko Benin mtu giant (tall) anaweza kugeuzwa kuwa mbilikimo ghafla tu.
 
Siamini kwnye imani za Kishirikina,,kuamini ushirikina ni LACK OF KNOWLEDGE

Kuna jamaa mmoja alienda sehemu moja inaitwa Bulima huko Mwanza akatoa hotuba yake akisema hakuna uchawi, kesho yake asubuhi akaamuka yuko mlimani alikimbia mwenyewe. Uchawi upo ila kiboko yake ni YESU tu.
 
Back
Top Bottom