kelvin miho
JF-Expert Member
- Dec 9, 2016
- 281
- 134
- Thread starter
-
- #21
Ok en sory for thatInasikitisha sana.!
Pole sana mkuu, huu uzi nimeandika toka July 30, 2016 (Miezi saba iliyopita).. Tazama hiyo link uliyowekewa hapo juu na mkuu moyes
I hope huyo "aliyekutumia" hajakulipisha hela, maana nasikia watu wanatoa stori humu wanawauzieni huko kwenye magroup ya whatsapp.. Tunawatafuta sana hao ili tuwafundishe kujiheshimu na kuheshimu wengine.!!
Akili kubwa kama le mutuzAisee ukiwa na story nyengine kama hii inayosisimua itupie.....Akili nyingi mno ametumia
hahahaaaaaaaaaaaaAkili kubwa kama le mutuz
Akil yako iwe inajiongeza ukiona neno samahanafu dogo unataka umaarufu kupitia mimi na the bold eeehh