Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,732
- 6,561
mkuu humu kuna wakongwe mnooo..yawesekana wewe NI dogo kweli kwao..hahaaMimi ni dogo doh
Ww ni dogo tu,Mimi ni dogo doh
mwihiguhuluuPiga namba hizi hapa: 0714 008 888 mwambie haswaaaaaaaa😉
hahaaaah alhamdulillah nimefurah mkuu japo nilikuwa na sononi kisi shukrani sana, hivi niko freshMimi ni dogo doh
Haswaaa mpigie waziri mwenye dhamanamwihiguhuluu
nimecheka sanaJamaa anaandika uzi huku akikimbizwa na jambazi Wadidi...Poleni sana wananchi.