Tetesi: Jambazi la Turiani

Tetesi: Jambazi la Turiani

Mkuu unanikumbusha miaka ya 90 Arusha kuna jambazi mmoja alikuwa hatari sanaa baada ya kutoka jela alisema ameacha hakuna aliyemwamini ila kweli alibadilika mpaka umauti ukampata Marehemu King Kola, natumai na huyu atakuwa amebadilika.
 
Labda ushahidi haukutosheleza kufanya ahukumiwe kufungwa, au alifungwa na amemaliza kutumikia kifungo chake!
Tatizo umeandika kwa ufupi sana
 
Piga namba hizi hapa: 0714 008 888 mwambie haswaaaaaaaa😉
 
shusha presha kwanza halafu ndo utupe habari kamili sio wote tunaomjua huyo wadidi
 
Wadidi hana shida naona cku hizi katulia... Ila namkubali kutoka umachinga magulioni saa hivi anamilik cash ya kutosha.. [HASHTAG]#maneno[/HASHTAG]
 
Back
Top Bottom