BAADA YA JAMBAZI KUINGIA BENKI
JAMBAZI : Usitikisike wewe lala chini tuliiiii maana pesa za serikali ila uhai ni wako unaumiliki mwenyewe .....ooooooh we fanya ujinga mimi nifanye upumbavu.
JE WEWE UNGEKUEPO KWENYE TUKIO UNGEPIGANIA PESA AU UNGETII KAULI YA KAKA JAMBAZI !???