Nilimsaliti mwanamke wangu ambae nimedumu nae kwa Miaka sita na Kuja kujua mchepuko anaruka na ungo iliniuma sana. Ukiachana na mambo ya kuniloga Mimi na mwanamke wangu. Yule dada aliniweza. Ila nimejifunza sana Hawa viumbe nawafaidi kwa macho. Sitaki stress za mapenzi [emoji4][emoji4]
Najutia kwanza yule mchawi alitupanga wanaume watatu. Mie niligonga mchana mwamba akagonga usiku alizima siku nzima akapelekwa hospital kijaziwa maji hapo tukakutana Kila mjinga kaleta kiepe, wakati mie nimeleta na mishikaki wana wameleta vipaja. Tena mjinga mmoja kaleta vipaja viwili wale wote[emoji23][emoji23][emoji23]