Jambo gani baya umewahi kumfanyia mpenzi wako na utajutia milele?

Kama unafanyiwa wewe tuuu basi jitathmini mkuu! Lazima uko na shida sehemu
Mfano nakupa halisi nilikuwa kwenye mahusiano na dada mmoja mpaka alikuja Arusha ila nilipopata matatizo Kazi sina akaniambia chukua time zako kila alichokitaka nilimpa hivyo usimuamini kwa sura sio roho ndo maana nikaandika ndomana kila siku watu wataendelea kuumizwa dada zetu wanataka vitu vikubwa oooh nataka mtu mwenye gari wakati kwao hata Baiskeli hawana ni hayo tu.
 

Pole sana[emoji38][emoji38]
 
Mwanamke unatakiwa umfanye mwanaume asiweze kuishi bila wewe
Not with witchcraft tho. .
Namshukuru Darlin
Sasa kama ulikua hauoneshi dalili ya kutoweza ishi bila yeye ndo mana akaongezea vikorombwezo kidogo 😆😆
 
Ulkua umepanga kula na kusepa kumbe moyoni anakucheka anajua gusa unate😆
😂😂 Wanaume wote watatu kwake yeye alipata faida gani?

Yeye ndio katutumia sisi. Mshikaji alinunua chips na vipaja viwili wale wote alitokwa na machizi kabisa. Na alikuwa pande la mtu atakuwa msukuma tu.
Kwanza nimejifunza hata sili hovyo maana Kila mtu anajua limbwata siku hizi
 
Yaani hii scenario yako ya chips vipaja chips mishikaki inanichekesha sana!
 
Faida si ndo kama hiyo ya chips vipaja na mishikaki. Kama angeongeza ndumba kidogo mngemjengea kabisa shauri yenu😆
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…