Jambo gani nila kipumbavu zaidi?

Jambo gani nila kipumbavu zaidi?

sumu-ya-panya

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2016
Posts
632
Reaction score
572
andika jambo unalojua ni la kipumbavu zaidi....
mimi najua nilivyoandika hii post ndo ya kipumbavu zaidi.
 
nimefanya upumbavu mkubwa kulogin jf na bado niko njee
 
kama wote mnahufanya wapumbavu mi ni mpumbavu zaidi yenu
 
jambo kubwa la kipumbavu ni kumjua Magufuli naye hakujui
 
....Upumbavu ni Kuandika Upambavu Kama Huu[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Upumbavu mkubwa zaidi ni kuamini kuwa bombadier zinaondoa umasikini wa masikini mpumbavu!
 
jambo la lipumbavu ni kumsindikiza mkeo guest akakutane na mgeni wake alaf wwe unamsubiria nje [emoji48]
 
KUIKOSA PAPUCHI
Siku moja nilifanya jambo la kipumbavu tulipanga na demu nimgegede siku ya jumapili hasubui nikasahau nikafanya jambo la kipumbavu nikaenda kanisani, hasubui hiyo demu akawasili hom kakuta kufuri, nikakumbuka nikiwa katikati ya misa daah Mungu anisamehe sikumuelewa padri kabisa nawaza papuchi, kuanzia hapo hadi mwisho wa misa si unajua demu mpya mtoto rangi ya mtume from dubai. sikumpata tena na buku yangu alikula kitambo.
 
Back
Top Bottom