Jambo gani uliwahi kulifanya na ni siri yako tu

Ningetaman nipate mguu wa kuu il huu ujinga anaoufanya........ iwe mwisho



Anyway ni siri yng coz hakuna wa kunipangia kutoa siri zngu.
 
na ukakimbia,, ruby utakuwa rafiki yake mhaya mmoja best yake alikimbia gesti kigamboni baada ya jamaa kuvuta akiwa juu ?
AhAhaahaaa!...can this happen? Anakuwa amekufa kwa utamu au akona matatizo yake tu....
 
Niliwahi kushiriki kuiba kura za Mgombea niliekuwa nikitumika Kama Wakala wake Mkuu wa Jimbo 2015 Mkoa wa Dar Es salaam alikuwa akijiamini sana, niliiba kura zote za Wapiga kura hewa aliowachomeka niliziiba ili apate kura stahiki yake
 
Ngoja nifunguke tuu, wewe ni mwanangu na babako hajui, hii siri tunaijua mimi na mamako tuu, upo hapo??!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…