Mpini Wa Chuma
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 1,728
- 1,327
Usitoe siri ambayo hukupenda ifahamike ukizoea utajikuta huwezi tunza ya mwenzako..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu atakulipa...pNiliwahi kushiriki kuiba kura za Mgombea niliekuwa nikitumika Kama Wakala wake Mkuu wa Jimbo 2015 Mkoa wa Dar Es salaam alikuwa akijiamini sana, niliiba kura zote za Wapiga kura hewa aliowachomeka niliziiba ili apate kura stahiki yake
Nilikua natoka kimapenzi na dada yangu binamu...Dah ila nilitubu ..R.I.P Valelian wewe ulikua ndugu wa faida .![]()
salute!.
Katika hali ya kawaida binadamu tunakutana au hata kufanya mambo mengi sana mema na mabaya..Na mengine tulishashau kwasababu ama umepita muda mwingi tangu umelifanya au kwa sababu limekosa maana kulingana na hali au wakati ulio nao kwa sasa...
..
Kupitia uzi huu,ni jambo gani unalokumbuka uliwahi kulifanya lakini ni siri ama kwako mwenyewe au na mtu wako karibu sana lakini hakika ni siri.kuwa lingejulikana lingekushushia hadhi au hata kutoeleweka vuzuri familia,jamii au mahala pako pa kazi.
Umeshasema ni siri yngu sasa kuna haja gani tena ya kukueleza wewe na wengneo wew mdukuzi?![]()
salute!.
Katika hali ya kawaida binadamu tunakutana au hata kufanya mambo mengi sana mema na mabaya..Na mengine tulishashau kwasababu ama umepita muda mwingi tangu umelifanya au kwa sababu limekosa maana kulingana na hali au wakati ulio nao kwa sasa...
..
Kupitia uzi huu,ni jambo gani unalokumbuka uliwahi kulifanya lakini ni siri ama kwako mwenyewe au na mtu wako karibu sana lakini hakika ni siri.kuwa lingejulikana lingekushushia hadhi au hata kutoeleweka vuzuri familia,jamii au mahala pako pa kazi.
Lakini ungeripoti polisi lazima wangewakamata hao wanaume saba waliokubaka mpaka ukapoteza fahamu.!******** ************ nikikumbuka naumia sana.
Only a stupid and foolish creature will dare say these!,unless otherwise tell me you are mad.Ngoja nifunguke tuu, wewe ni mwanangu na babako hajui, hii siri tunaijua mimi na mamako tuu, upo hapo??!
Only a stupid and foolish creature will dare say these!,unless otherwise tell me you are mad.
son of birch,... mother-fuker ...you ewe!!!.
Hujaelewa nin?....tumia akili nying kupata vitu ving....au neno "ewe" limekonga? Just google...unahisi lugha ngeni kwako ni kwakila mtu....ndio maana unaandika ujinga...swine....Bora ungeongea Kiswahili tu, mkuu haueleweki hata kidogo. Usipende kuandika lugha za watu huku ukichapia, unatia kinyaa.
Hujaelewa nin?....tumia akili nying kupata vitu ving....au neno "ewe" limekonga? Just google...unahisi lugha ngeni kwako ni kwakila mtu....ndio maana unaandika ujinga...swine....
Kabisaanikiiweka hapa mmh itageuka fimbo ya kunichapa sitauwa huru tena ha ahahaa