Jambo gani umewahi lifanya kwenye mapenzi ukajutia

Kwa kweli, kwa uaminifu kabisa kulingana na maoni yangu ya unyenyekevu, bila kuwa na hisia na bila kumkosea yeyote anayefikiria tofauti na maoni yangu, na bila kuficha mawazo yoyote akilini mwangu, na bila uwongo kwa ukweli halisi, kwa akili yangu wazi na moyo wangu safi, nikiweka wazi kila kitu kilichojificha ndani yangu kwa muda mrefu ambacho sikusema kwa sababu nilikuwa na wasiwasi. Lakini leo, kwa kukusanya ujasiri na motisha yote, nataka tu kusema kwamba mimi kimsingi naona na kufikiria kwamba Sina lolote la kusema.Asanteni.
 
Dhambi ya kuua kiumbe kisicho na hatia itakutafuna miaka yako yote kuanzia hapa duniani mpaka ahera.
 
Ngoja nimalize kulia na kusikiliza nyimbo za lavalava ntakuja kuandika hapa๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.
 
Mkuu huo mkoa utakuwa Tanga, yani sipati picha ulivokuwa umekamia mizagamuo
 
Baada kuachna tuuu haikupita at wiki ashampt bwana mpya tena rAfk angu duuuh๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜’๐Ÿ˜๐Ÿ˜’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ