Jambo hili naliona peke yangu tuu?

Jambo hili naliona peke yangu tuu?

Michael mbano

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2022
Posts
820
Reaction score
570
Kumekuwa na mfumuko wa nyimbo za dini hasa kwenye baadhi ya makanisa ya walokole ambazo hata hazijengi muumini kiimani na kumfanya awe mtulivu kutafakari bali zinamfanya mtu acheze kama burudani na zinawezakuhamasisha anasa kutokana na staili yake ya uimbaji na uchezaji.Nyimbo zinaimbwa kwa staili ya singeli na nyingine tarabu ni aibu kuimba nyimbo za kupagawisha na kuburudisha badala ya kujenga imani na tafakari njema.

Acheni kuimba kwa kulenga kipato tu nashauri baadhi mbadilike.Tafakari njema.
 
Siku hizi anaimbiwa Mungu basii?? Anaimbiwa mwanadamu ndio maana lazima utumie mbinu ya kumfurahisha..
 
Mambo mengine yaache kama yalivyo, yasikuumizwe kichwa...
 
Kuna tofauti kati ya Gospel music na hymns of worship. Gospel ni muziki wa injili wenye nia ya burudani zaidi. Huwezi kusikiliza Gospel kanisani, hilo nakataa hata mimi.
Hizo Tenzi zipo katika kundi la hymns of worship ambazo mara nyingi tunaimba kanisani zaidi.
 
Kumekuwa na mfumuko wa nyimbo za dini hasa kwenye baadhi ya makanisa ya walokole ambazo hata hazijengi muumini kiimani na kumfanya awe mtulivu kutafakari bali zinamfanya mtu acheze kama burudani na zinawezakuhamasisha anasa kutokana na staili yake ya uimbaji na uchezaji.Nyimbo zinaimbwa kwa staili ya singeli na nyingine tarabu ni aibu kuimba nyimbo za kupagawisha na kuburudisha badala ya kujenga imani na tafakari njema.

Acheni kuimba kwa kulenga kipato tu nashauri baadhi mbadilike.Tafakari njema.
 
Kuna tofauti kati ya Gospel music na hymns of worship. Gospel ni muziki wa injili wenye nia ya burudani zaidi. Huwezi kusikiliza Gospel kanisani, hilo nakataa hata mimi.
Hizo Tenzi zipo katika kundi la hymns of worship ambazo mara nyingi tunaimba kanisani zaidi.
 
Back
Top Bottom