Jambo hili ndio linatuumiza sana sisi madomo zege

Jambo hili ndio linatuumiza sana sisi madomo zege

Nifanye Nini

Member
Joined
Sep 5, 2022
Posts
61
Reaction score
147
Hakuna kitu kinaleta msongo wa mawazo kwa sisi madomo zege kama kuona washikaji wanavyoraluwa pisi kali for free.

Yaani unaona pisi inastahili kuhandle with care ila wahuni wanaitreat kama gari bovu.
 
1. Kimboka
2. Riverside
3. Corner Bar
4. Temeke Sudan
5..

22. Nyeto


USIBAKE
 
Domo zege, ulimi tofali. Pole mkuu. Nenda hardware waambie wakuonyeshe mkonobao then ishi nao.
Kwanza n aibu mwanaume kushindwa kutongoza. Ulikulia wapi aisee?
Sasa kama unashindwa kupiga verse, utaeza kweli kuendesha familia?
Pia kaa ukijua wanawake hua wanapenda kusema kua wanataka wanaume wanaojali na magentlemen, lakn deep inside wanataka wale wanaume kama sisi ambao tunaeza kuongoza familia bila kutetereka na mambo madogomadogo.
Hata ukimpata utaishia kuhonga sana tu wakati wakware wanamparua mpaka wanaitemea mate.
Subiri Carlos The Jackal aje akuelekeze
 
Yaani sijui nimeanzaje kufungua uzi wakipumbavu kama huu
 
Back
Top Bottom