Jambo hili ni gumu

Jambo hili ni gumu

Daudi kambona

Member
Joined
May 21, 2023
Posts
7
Reaction score
3
Hiki kitu ni hatari sana kwenye hatima ya maisha ya nafsi za watu kuokolewa au kupotea milele: USHOGA na USAGAJI. Ni kweli maandiko yamenyamaza kuhusu msamaha wao. Ila ndugu, usijaribu kufanya vitendo hivi. Nitauliza maswali mawili tu mwenyekiti upeo anijibu:

  1. Anayeweza kuonesha mahali kwenye maandiko ambapo MUNGU amesamehe hili anitajie.
  2. Niambieni ni mtakatifu yupi ameenda mbinguni ambaye alikuwa shoga, msagaji, mfiraji. Ndugu zangu, soma Mwanzo mpaka Ufunuo huwezi kupata majibu ya maswali hayo.
Wewe binti, wewe kijana, usijaribu wala kushawishi wala kuhusika kwa pesa wala chochote. Ni bora ufe maskini. Ngoja nikwambie, kahaba mlevi waweza kuingia mbinguni lakini ukifanya hivi vitendo ni NGUMU mno kuokolewa. Maandiko yako wazi yanaonesha hakuna shoga, msagaji, wala mfiraji ambao wamewahi kuokolewa. Kama wapo, nipeni ushahidi wa Biblia.
 
Back
Top Bottom