alexelias
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,032
- 3,197
Huo ndiyo UKWELI!
Hata km ni mchungu lkn huo ndiyo UKWELI!Hali halisi hata huku mtaani upande wa pili umekwazika na hawana imani na wewe tena!
Tulikisihi uachane na MAHABA ya u-Simba na u Yanga ZITAKUHALIBIA,ukapuuza!
Nasikia hata baadhi ya washauli wako uliwakatalia lazima uende....hhhhh!
Impact ya jambo hilo si tu itaonekana leo bali hii umejenga chuki kwa upande wa pili hadi mwisho wa utawala wako.
Japokuwa eti unajifanya ww si mwanasimba lkn Mungu huwa hamfichi...Hiyo ilizihirika kwa wewe kukaririwa ukitamka `Nyinyi wana Simba 'hhhhh!
Nasikia mechi ijayo ya Yanga na Gor Mahia umepanga kuibuka uwanjani ili eti u-balance mambo;mm nakucheki tu-kubali umejiharibia!
Kikwete na MAHABA yake kwa timu ya Yanga lkn HAKUTHUBUTU kwa namna yeyote kujihusisha nayo kwa maana ya moja kwa moja!ALIKUWA MJANJA!
ANY WAY,HOMGERA KWA KWENDA KUISAPOTI TIMU YA WAZUNGUSHA MIKONO a.k.a WAZEE WA UKAWA!
YANGA SHTUKENI!
Hata km ni mchungu lkn huo ndiyo UKWELI!Hali halisi hata huku mtaani upande wa pili umekwazika na hawana imani na wewe tena!
Tulikisihi uachane na MAHABA ya u-Simba na u Yanga ZITAKUHALIBIA,ukapuuza!
Nasikia hata baadhi ya washauli wako uliwakatalia lazima uende....hhhhh!
Impact ya jambo hilo si tu itaonekana leo bali hii umejenga chuki kwa upande wa pili hadi mwisho wa utawala wako.
Japokuwa eti unajifanya ww si mwanasimba lkn Mungu huwa hamfichi...Hiyo ilizihirika kwa wewe kukaririwa ukitamka `Nyinyi wana Simba 'hhhhh!
Nasikia mechi ijayo ya Yanga na Gor Mahia umepanga kuibuka uwanjani ili eti u-balance mambo;mm nakucheki tu-kubali umejiharibia!
Kikwete na MAHABA yake kwa timu ya Yanga lkn HAKUTHUBUTU kwa namna yeyote kujihusisha nayo kwa maana ya moja kwa moja!ALIKUWA MJANJA!
ANY WAY,HOMGERA KWA KWENDA KUISAPOTI TIMU YA WAZUNGUSHA MIKONO a.k.a WAZEE WA UKAWA!
YANGA SHTUKENI!