kaka_mkubwa
Member
- Apr 6, 2012
- 40
- 75
Habari za waungwana.
Pamoja na kuwa kuna msemo kuwa samaki mmoja akioza basi wote wameoza, inaweza ikawa tofauti.
Naomba kuuliza je, kuna wakati umekutana na afisa/askari wa polisi akakutendea kwa utu, heshima na huruma?
Kuna mifano mingi, ikiwemo kuwapa chakula mahabusu ambao huwa hawajaletwa chakula kwa muda mrefu... n.k. huwanunulia chakula kutoka hela zao za mfukoni.
Je, wewe umekutana na kisa kipi kilichokuonyesha taswira ya utu, heshima, na huruma kutoka kwa afisa/askari wa polisi?
Karibu
Pamoja na kuwa kuna msemo kuwa samaki mmoja akioza basi wote wameoza, inaweza ikawa tofauti.
Naomba kuuliza je, kuna wakati umekutana na afisa/askari wa polisi akakutendea kwa utu, heshima na huruma?
Kuna mifano mingi, ikiwemo kuwapa chakula mahabusu ambao huwa hawajaletwa chakula kwa muda mrefu... n.k. huwanunulia chakula kutoka hela zao za mfukoni.
Je, wewe umekutana na kisa kipi kilichokuonyesha taswira ya utu, heshima, na huruma kutoka kwa afisa/askari wa polisi?
Karibu