Jambo kubwa la Nchi lipo Kondoa

Jambo kubwa la Nchi lipo Kondoa

JUMA JUMA

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
790
Reaction score
964
Jambo lipo Kondoa.

Mkutano Mkuu wa Jimbo kondoa


Mgeni Rasmi Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi ( Bara) Ndg. Abdulrahman Kinana.

#VitendoVinaSauti
#CCMImara
#KaziIendelee
IMG-20230723-WA0018(1).jpg
 
Dpw imewafanya watoke vichakani. Jambo kubwa lipo temeke huko kwengine kumejaa madalali na wachumia tumbo.
 
Wana JF nani mwenye kale ka-clip kanamuonesha huyu msomali kinana akimpokea mfalme wa Dubai Kia na kisha kanamuonesha huyu mpumbavu akimuonesha huyo mfalme eneo la milki yake huko ngorongoro waliomuuzia hivi karibuni! Naomba akaweke kwenye uzi huu itapendeza sana watu wajue alivyo shetani na nusu !
 
Back
Top Bottom