Jambo la aibu lililonitokea usiku wa jana wakati nafanya tendo la ndoa na mke wangu

Tatizo chanzo chake unakijua alfu unakuja hapa kulia lia sijui tukupunguzie nguvu zetu Mkuu?
 
"...Chanzo cha tatizo langu nadhani ni kujichua kwa muda mrefu kwani nilianza kujichua mwaka 1992..."

Wengi wanaokushauri hapa walikuwa wananyonya wakati wewe unaungurumisha punyeto.

Sasa kama unahisi tatizo ni kupiga punyeto kwa nini usiache?!
Huyu jamaa sijui vipi, wakati watu wanazaliwa yeye alikuwa anapiga punyeto, halafu leo ndiyo anataka wamshauri, ana akili huyu ?
 
Huyu jamaa sijui vipi, wakati watu wanazaliwa yeye alikuwa anapiga punyeto, halafu leo ndiyo anataka wamshauri, ana akili huyu ?
Ndio maana nimeshangaa mkuu.....
 
Umenikumbusha dogo mmoja anasema nyeto imemharibu kiasi kwamba akienda dukani au hata nyumbani akiona sabuni tu kitu kinaenda mnara
 
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Liwazo la kaka zangu vipenzi Daby na Bonny.
Sasa hivi nimeacha kutembea na rungu ili nisiwafanyie hiyana. [emoji12] [emoji12]
Wee jichekeshe tu yaani bora tuongelee siasa au international news kama Nalendwa.

Vipi hali ya siasa ya mataifa ya mrengo wa kushoto unionaje [emoji5]?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…