Bonny
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 13,370
- 29,968
Dooooh mie simo aiseeChezea rungu wewe!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dooooh mie simo aiseeChezea rungu wewe!!
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Tatzo mkuu una miaka 42 unataka kucheze mechi kama unamiaka ishirini..!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mashine yake mbovu[emoji3] [emoji3]Dah kama huyo na kwa utombaji huo,watampopolea sana,ila huenda ana kikwapa kikali,au mashine haina service,au ana gubu,mbona huyo hatakama una 65 unamdunga msumari tena kwa kishindo cha NYUNDO.
Wee jichekeshe tu yaani bora tuongelee siasa au international news kama Nalendwa.
Vipi hali ya siasa ya mataifa ya mrengo wa kushoto unionaje [emoji5]?
Unahis haya majarbio ya silaha ya nyuklia za korea kaskazin inaweka kwenye nafas gan yale mataifa jiran kama urusi na china na korea kusin?
c.c Daby
Mie najua majaribio ya makombora ya rungu tu na inavyowaweka wifi zangu na kaa zangu katika nafasi mbaya.
Unaanzaje kutokuwemo kwamfano!!!Dooooh mie simo aisee
Bonny a.k.a bobby unaitwa huku.
Afadhali umenipa jina la kumuita, alafu hilo ndilo linaendana nae Bonny bobby.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Khaa!, si ungekausha shogaa! [emoji28]
Bonny sorry jamani!
Sent using Jamii Forums mobile app
Na anastahili tuzo ya heshima kwa uaminifu wake kwa chaputa hata kabla akijaundwa.
Afadhali umenipa jina la kumuita, alafu hilo ndilo linaendana nae Bonny bobby.
We umesameheka ila Huyo nduguyo angekosea angeona shuhuli yake[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Khaa!, si ungekausha shogaa! [emoji28]
Bonny sorry jamani!
Sent using Jamii Forums mobile app
Booooooooby! Maaaambo!Ha ha ha Kama nakuona ulivyofurah
Una wazimu wewe sio bure
Exactly,anahitaji overhaule au aache kabisa kujidhalilisha.
Nisaidie uwe unamchukua unaenda naye huko international Forum huku anachafua hewa.