Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 239
Mwanzo lilikuwa linamilikiwa na nani na likuwa linatayarishiwa wapi?
Nasikiavyo lilikuwa linaendeshwa kwa ruzuku kutoka serikalini, na sasa ruzuku hiyo imekatwa ghafla kutokana na serikali kuwa hoi kifedha.
hhaaah. asije akailnyakuwa LOWASA TU. Maana yule jama tangu afunge mkataba na MOU amenitoka hamu
Wasije kumuuzia mpaka ikulu hawa..
na ww unapinga kama nani?? ovyoo, mtetezi wake au??hacheni majungu. nyie kila kitu riz1, hovyoooo
WanaJF;
Habari za uhakika nilizopata kutoka New Habari ni kwamba Rostam kalinunua gazeti la Jambo Leo kuanzia jana. Utayarishaji wa hilo gazeti unahamia Sinza katika newsroom za New Habari na litakuwa linamilikiwa na kampuni hiyo.
Nawasiliasha!
Acha maneno ya kwenye kahawa, rostam hajanunua gazeti, gazeti limenunuliwa na kampuni ya new habari na si vinginevyo1