Jambo Leo lanunuliwa na Rostam, lahamishiwa New Habari

Jambo Leo lanunuliwa na Rostam, lahamishiwa New Habari

Mmiliki wa New Habari ni Rostam, na si mwingine. Ninavyoambiwa na swahiba wangu pale NH ni kwamba hata CEO Bashe hakuwa ameambiwa kabla. jana tu ndiyo aliagizwa alipokee gazeti na waandishi 10.

Sasa Bashe anahaha kumpata Rostam kujua inakuwa vipi? Gazeti limekuja na budget yake?
 
Yote heri kizuri kinanunulika, tanzania daima je?
 
Hata akinunua magazeti yote nchi nzima, haitamsaidia kitu katikakujishafisha. ukishakuwa mchafu ni mchafu tu.
 
Mmiliki wa New Habari ni Rostam, na si mwingine. Ninavyoambiwa na swahiba wangu pale NH ni kwamba hata CEO Bashe hakuwa ameambiwa kabla. jana tu ndiyo aliagizwa alipokee gazeti na waandishi 10.

Sasa Bashe anahaha kumpata Rostam kujua inakuwa vipi? Gazeti limekuja na budget yake?

Halikuja na bajet. Nasikia huyo Juma Pinto mshahara wake ni zaidi ya wa bashe. huenda akashika nafasi ilioachwa wazi na Balile, nafasi ya u-ME.
 
Acheni majungu,basi huyo riz1 ina maana anamiliki kila kitu tanzania hii,kuweni na busara!
 
hhaaah. asije akailnyakuwa LOWASA TU. Maana yule jama tangu afunge mkataba na MOU amenitoka hamu

Malaria Sugu A.K.A Memorandum Of Understanding. Kwa jinsi hili neno lilivyokukaa, kuna uwezekano mkubwa hata MPENZI wako unamwita MOU.
 
Acheni majungu,basi huyo riz1 ina maana anamiliki kila kitu tanzania hii,kuweni na busara!

Hii inanikumbusha kipindi mzee mwinyi akiwa rais kila ghorofa mjini tulikua tunajua ni la mama sitti mwinyi,kumbe mengi yalikua ni ya Lowassa!
 
Hongera Rostam kwa kununua Mzigo!

8AAAAASUVORK5CYII=


mh! kaka hii avator yako!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
mimi sielewi ujinga fulani wa kuzungumza nani anamiliki nini , mara rostam ,mara mtoto wa kikwete ana miliki oil kampuni , hchi ni kijiba cha roho FANYA KAZI NA WEWE TOWA AJIRA KWA WATANZANIA WENZIO ,KUNA mdao hata kadiriki kusema BAKHRESA kwanini tajiri ,
PANDA JUU UKAZIBE KAMA UNAUWEZO WA KUFANYA HIVYO hawa watu wanawajibika kwenye taifa hili , compuni kama BAKHRESA ni kampuni pekke ya binafsi iliyotowaajira nyingi kwa watanzania , na ni kampuni no moja inayolipa kodi nchini kuliko kampuni yoyote , usihoji yule kafanya nini jiulize wewe kama MTANZANIA UMECHANGIA NINI KWENYE TAIFA HILI , unao uhuru wa kuandika kwavile hatujaanzisha kukulipisha VAT utaandika hadi utachoka , tumia wakati wako kwa kujigombowa kwenye umasikini na kama umeshindwa maarifa niulize mimi nikupe maarifa ya kujingombowa .
 
Back
Top Bottom