Jambo nisiloweza kulisahau kamwe mwaka 2024

Jambo nisiloweza kulisahau kamwe mwaka 2024

Magical power

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2022
Posts
2,158
Reaction score
5,626
JAMBO NISILOWEZA KULISAHAU KAMWE MWAKA 2024
1738786176868.jpg

Siku Moja katika kutekeleza majukumu yangu Kuna ndugu Fulani walikuja Kwa lengo la kuhifadhi mwili WA mpendwa wao majira ya saa Tano usiku

Story ya kifo Cha marehem ni kwamba alirudi kutoka kazini akiendesha gari lake vzr tuu baadae majira ya saa mbili usiku alianguka bafuni ghafla akawa amepoteza maisha

👉Waliomba pia wapate cheti chakifo sambamba na kufanyika Kwa uchunguzi JUU ya kifo chake Cha ghafla yaani Autopsy

Jambo Moja lilifanyika maiti ilichukuliwa ikafanyiwa vipimo vya awali kuthibitisha kifo na Kisha kupelekwa kuhifadhiwa kwenye chumba Cha maabara ya uchunguzi WA vifo yaani pathology laboratory

Hatukumpeleka mortuary kwasababu za kiuchunguzi na tukisha maliza uchunguzi na report ikatolewa basi angepelekwa mortuary

Basi alfajiri tuliamua kuandaa vifaa kwaajiri ya uchunguzi vikakamilika, tukaandaa meza ya kumlaza marehemu ili tumpasue kufanya uchunguzi kuangalia mishipa ya moyo kama AOTA kama ili pasuka au laa ili kujua kama alikufa Kwa shabulio la moyo au kitu kingine

Picha LINAANZA naingia katika chumba nilikomlaza marehemu nakuta marehehemu kasimama amenikodolea macho 🤸🤸🤸🤸🤸

Hali hii kitaalam inaitwaje? Je maiti inauwezo WA kuamka na kusimama?

Kuna hali inayoweza kuwatokea wafu ya kuinuka na KUTEMBEA inaitwa Lazarus Syndrome

Ni pale ambapo Mtu anapata mshituko au shambulio la moyo la ghafla anaanguka moyo unasimama kabisaaaa harafu baadae unashindwa kumalizia MCHAKATO WA kuzima Kisha unaanza kudunda na kufanya kazi upya

Story hii nitaimalizia nini kiliendelea Kwa huyu bwana ikiwa sambamba na kutoa ELIMU Pana JUU ya kilichomtokea huyu mwamba.

Hatima ya mtu ni ya Mungu tuu kama siku zako Bado kifo Cha kuletwa na ibirisi kitatoweka na Uhai utarejea Hata ukiwa mortuary
 
1738786606018.jpg
VITU VYA KUSHANGAZA NILIVYOKUTANA NAVYO MWAKA 2010 HOSPITALINI

Mimi ni mtu ambaye ninadadisi saana vitu sasa nilipangiwa kazi mkoa mmoja ambao sitautaja kwenye hospitali ya mkoa h

Nilipo fika nishangazwa na jambo Moja Ile hospitali kulikuwa na paka WENGI saaana pia kulikua na mti mmoja una bundi pia usiku walikua wanalia mmoja mmoja Hadi utulize kichwa ndio uwasik

Jambo Hilo lilinishangaza mno nikaanza kufuatilia Kwa ukaribu hao paka wanaishi wapi, wanakula nini, wanafugwa au wapo t

Baada ya siku kama nne nikagundua ene furani ndani ya hospital kulikua na mti mkubwa Huo mti ndio ulikua una bundi na Kila siku usiku majira ya saa Saba usiku paka walikua wakikutana pale WENGI sa

Sasa siku Moja ilikua J tatu nimeitwa wodi ya wanaume kulikua na mgonjwa amezidiwa alihitaji msaada WA dharula nilipo ingia nilimuona paka mweusi chini ya kitanda Cha mgonjwa nikamfukuza akato

Baada ya dakika chache yule mgonjwa aliaga Dunia, mda mchache baadae paka yule alirudi kwenye kitanda namba mbili nikamfukuza Tena haikupita mda mgonjwa akazidiwa akafari

Baada ya kama dakika Saba alirudi akaingia kwenye uvungu WA kitanda kinachofuata no 3 niliitwa na ndugu WA mgonjwa tukamfukuza haikupita mda mgonjwa akazidiwa akafariki Tena iliendelea hivyo Hadi akafika kitanda namba 5 NAE akafarik

Mgonjwa aliekuwa kitanda namba 6 kabla paka hajarudi aliinuka akaja ofisini akaomba ruhusa arudi home kitendo hicho ni kama kilimuokoa maana alivyoondoka tuu paka alirudi akaingia chini ya kitanda namba Saba na baada ya nusu saa mgonjwa akazidiwa akafarik

Siku hiyo naikumbuka Hadi leo kwani ni siku ambayo nilishuhudia vifo vingi na wagonjwa waliokua wanebakia bila kujali hali Zao Waliomba ruhusa wakaondoka wote na walioondoka walisalimik

Jambo Hilo lilinifanya niwe nawaswas dhidi ya paka WA hospitalini japo sikua na ushahudi au uhakika kuwa vifo vile vilitokana na ziara ya paka yule mweu

Tulikaa kikao nikushauri ule mti mkubwa wanapokutana Kila siku ukatwe na ulikat

Nini kimekushangaza,? Duniani Kuna MENGI ya KUSHANGA

Ukisikia kua uyaone sio Magorofa.AZAwasia i i kikanauuieuokua uyaone sio Magorofa.
 
Kwa hiyo wafe tu kwa sababu ya kufuata sheria iliyowekwa
Mkuu n utaratibu ila Sheria Ina ruusu ndugu akiomba aondoke na mgonjwa wake bila hata kuruusiwa na doctor basi Kuna fom maalum anapewa anajaza na kusain ana Chukua mgonjwa wake analud nae nyumbani hospital Sio mahakaman kusema ad kes iishe
 
Back
Top Bottom