Mali zake alijilimbikizia wapi?Ama ni yale yale ya sanduku la minoti mnalodai alikimbia nalo nje ya nchi?Kambona na EL wapi na wapi.Mumpambe mtakavyoweza, kwangu mimi Oscar Kambona ni msaliti kwa Taifa hili, simtofautishi na EL, kiongozi mwenyeuchu na tamaa ya mali na utajiri wa haraka haraka.
After reading the speech, I came to conclude that Mr Kambona was very open, welcoming, humble and was even willing and ready to accept criticisms, something that Nyerere didn't like or was not comfortable with. Nyerere either didn't like or was rather sensitive when it comes to the idea of being criticised as a leader. Perhaps Nyerere was uneasy to see Kambona as an up and coming brilliant technocrat who was posing a threat of stealing the show within the party/country.
Maulaga,Wakati ule maoni ya Kambona au machapisho yake yasingeweza kupokewa Tanzania, na wala uhuru wa habari haukuwa mkubwa kiasi unachokiona sasa hivi. Nimawazo ya watu wachache/wasomi kama akina Abdulahaman Babu yaliweza kupenya kwenye magazeti kama "Africa" na baadae "Africa Now" na "Africa Events" lakini magazeti hayo yalikuwa ya nawafikia watu(wasomi)wachache sana. Kuna kitabu kiliandikwa na Abdulahamani Babu kinaitwa " African Socialism or Socialist Africa" ilikuwa ni vigumu sana kukipata japokuwa hakikupigwa marufuku. Kwahiyo uhuru wa mawazo tofauti haukuwa mkubwa sana enzi hizo. Wengine tunaishukuru sana mitandao ya kijamii kama hii na kukuwa kwa tekinolojia ya habari ambayo imetuletea uhuru mkubwa wakutoa na kupokea habari na mawazo hatakama kuna wanaotumia vibaya fursa hii. Zamani dola liliweza kudhibiti habari kisawasawa!
nitaiscan kwa kutumia character recognition software na kuileta upya. Asante sana MKJJhapo hadi itaipiwe na kuwekwa kwenye digital format.
Kambona and Nyerere remained political enemies until the end of their lives. When Kambona died in July 1997, Nyerere did not even attend his funeral. But his son Andrew Nyerere did, as he stated in his correspondence with Godfrey Mwakikagile, quoted in Mwakikagile's book, Nyerere and Africa: End of an Era. See Andrew Nyerere's letter in chapter 13 of the book, p. 365.
He is the symbol of our nationhood. He is the symbol of Tanzania in and out of Tanzania.Hivi kwa Mwalimu Nyerere kuitwa baba wa taifa kunaisaidia nini Tanzania?
Big up Mzee MwanaK!!
Umenifungua akili sana kuhusu Kambona. Tulikuwa tunmasoma, tunaambiwa na kumwimba kwamba eti ni msaliti na mhaini. Nimesoma maandiko yake na sasa naamini wakati wa Kambarage ilikuwa ni too much propaganda na alikuwa anajifagilia. On top of that sote tunajua Julius alikuwa haambiliki wala kushaurika. Ningependa kumjua wasifu wake huyo Kambona na kusoma maandiko na kazi zake nyinginezo. Naamini status yake inatakiwa iwe elevated to one of the greatest statesman of this nation. Long live Oscar Kambona
Abdulwahid Kleist Sykes hakumwandikia Nyerere hotuba aliyoitoa UN. Mohammed Said hapo kasema uwongo. Huenda ikawa Nyerere alitumia outline........Na yule Sykes........aliyemuandikia hotuba Nyerere na kuisoma UN.......naye tumuweke kwenye kundi lipi.................
Hivi kwa Mwalimu Nyerere kuitwa baba wa taifa kunaisaidia nini Tanzania?
Mumpambe mtakavyoweza, kwangu mimi Oscar Kambona ni msaliti kwa Taifa hili, simtofautishi na EL, kiongozi mwenyeuchu na tamaa ya mali na utajiri wa haraka haraka.
Na mimi hili ndilo lililonikwaza kwa Kambona wetu. Nilisoma pale Morogoro nikaonyeshwa jumba lake kubwa tu kwa viwango vya wakati huo. Hapa Dar nako kuna nyumba kadhaa zinahusishwa naye. Unajiuliza utajiri ule kwa umri na kazi za kuajiriwa alizofanya havikuendana kabisa. Kwa kuwa alioa Uchagani pengine hilo laweza kuwa jibu? Lakini mbona hata JS Warioba alioa huko na hakuwa tajiri? Hata Mkapa katajirikia Ikulu. Watawala wetu wengi walipenda kuoa Uchagani!Mumpambe mtakavyoweza, kwangu mimi Oscar Kambona ni msaliti kwa Taifa hili, simtofautishi na EL, kiongozi mwenyeuchu na tamaa ya mali na utajiri wa haraka haraka.
Mkuu, hivi leo ukipewa mtihani kuchora symbol ya Tanzania utamchora Nyerere au Karume?He is the symbol of our nationhood. He is the symbol of Tanzania in and out of Tanzania.
Kibatani cha thanks sikioni mkuu, ningekibofya.hehehe...umeona hilo ehhe? As if Tanganyika isingekuwa huru bila yeye! Give me a break...
Freedom was on the pipe no matter what...
Sijaona convincing evidence yeyote kuwa Nyerere single handed brought independence in Tz.
That said, it still good to appreciate him and give him his due rights and respects.
Hata hizi alama kaziasisi yeye. Mwalimu ni kila kitu kwa uanzishwaji na uwepo wa TANZANIA.Mkuu, hivi leo ukipewa mtihani kuchora symbol ya Tanzania utamchora Nyerere au Karume?
Kweli mapenzi matamu, maana nasikia hata wananchi wa South Africa walitaka kuweka kiapo kiwe kwa jina la Mandela.
Basi hata ushahidi hamna mkuu.Hata hizi alama kaziasisi yeye. Mwalimu ni kila kitu kwa uanzishwaji na uwepo wa TANZANIA.
Kasaini yeye kulikubali. Utaitaja wapi Tanzania umsahau Mwalimu? Historia haifutiki wala kuandikwa upya.Basi hata ushahidi hamna mkuu.
Ukitafuta, ndani ya JF, kuna topic inazungumzia shindano la jina Tanzania.