Uchaguzi 2020 Jambo wanalopaswa kufahamu CHADEMA, ni kwamba muda wa kufanya siasa za kistaarabu umekwisha

Kama vile CCM inavyo vitumia Vyombo vya Dola na Taasisi zake kusalia Madarakani kupitia Katiba inayo toa Mwanya kwa Taasisi hizo kutumika kirahisi.
Kile kipindi kongamano lilikaa likasema kuwa tuende kwenye kura za maoni ya katiba mpya,viongozi wenu walijibu kuwa wana uhakika wa kuchukua dola wakichukua watabadili katiba ndio UKAWA ukazaliwa.
 
Kile kipindi kongamano lilikaa likasema kuwa tuende kwenye kura za maoni ya katiba mpya,viongozi wenu walijibu kuwa wana uhakika wa kuchukua dola wakichukua watabadili katiba ndio UKAWA ukazaliwa.

Hebu Soma ulicho andika kwanza mwenyewe kama ume kielewa ,maanake sijui hata ulikuwa una maana gani au ulitaka tujue nini ..
 
Sijawahi kuwasikia chadema majukwaani wakiongelea sera mbadala zaidi ya kuishambulia ccm.

Unasema hujawahi kuwasikia cdm wakiongea sera, sio kwamba hawaziongei ila hizo sera sio hitaji lako bali hitaji lako ni kuhakikisha ccm inabaki madarakani, hivyo yoyote anayezungumzia ccm kutoka madarakani ndio inabaki kichwani mwako.
 
Unasema hujawahi kuwasikia cdm wakiongea sera, sio kwamba hawaziongei ila hizo sera sio hitaji lako bali hitaji lako ni kuhakikisha ccm inabaki madarakani, hivyo yoyote anayezungumzia ccm kutoka madarakani ndio inabaki kichwani mwako.
 
Kile kipindi kongamano lilikaa likasema kuwa tuende kwenye kura za maoni ya katiba mpya,viongozi wenu walijibu kuwa wana uhakika wa kuchukua dola wakichukua watabadili katiba ndio UKAWA ukazaliwa.
Ungejikita kwenye mada zaidi mkuu
 
Ungejikita kwenye mada zaidi mkuu
Juhudi zako za kushinikiza ugaidi dhidi ya serikali halali iliyowekwa madarakani kwa njia ya kidemokrasia mimi siungi mkono hoja zako.
 
Juhudi zako za kushinikiza ugaidi dhidi ya serikali halali iliyowekwa madarakani kwa njia ya kidemokrasia mimi siungi mkono hoja zako.
Pia, hebu sema ninafuraha sana watu wanapopigwa risasi na kuuwawa. Tamka ni juhudi zangu na pia naunga mkono
 
Pia, hebu sema ninafuraha sana watu wanapopigwa risasi na kuuwawa. Tamka ni juhudi zangu na pia naunga mkono
Sasa hivi hata mtu akifia gesti mnasema ni ccm,hakuna ushahidi kuwa watu wanaopigwa risasi kuwa wamepigwa na ccm.
 
Niko Fonti Feji.
Ila ukweli ndio huo, Chadem ni magaidi tu nao halali yao ni kupigwa tu. Tutawapiga na kuwapiga kila pale mtakapokuwa mnaenda kinyumé na taratibu za Nchi. Chadema hawana haki na nchi yetu.
Wana usajili sawa na wa CCM na wanachama wake ni waTZ kama wewe mkuu.
Ila mkuu akitaangaza kuwa nchi ni ya wanaCCM pekee na wengine ni wahamiaji basi uzi wako hapo juu utakuwa na maana sana.
 
Kwa hiyo wewe mkuu unataka VITA!
Mkuu sehemu yoyote huku duniani kama kuna machafuko jua kabisa kuna ukiukwaji ama wa haki za kibinadamu, ref kupotea kwa Ben Saanane, kuuliwa kwa Alfonce Mawazo kupigwa risasi kwa kamanda Lisu..
Uvunjifu na ukandamizwaji wa kisheria kama unavyoona wanavyofanya wateule wa rais. Kuwekwa mahabusu kwa diwani wa kitunda bila sababu za msingi. Kukataza wana siasa kufanya siasa wakati wamepewa haki hiyo na katiba, chaguzi zisizo za huru na haki.

Hayo yote hupelekea anayeonewa kuchoka na kutumia njia mbadala. Mwana Muzic Peter Tosh aliwahi kuimba....

Equal right n justice
 
Hakuna anayejipendekeza, kwa taarifa yako tu ukiondoa Mwalimu Nyerere enzi zile nikiwa mtoto, sijawahi kuwa karibu na rais yoyote yule kati ya hawa waliomfuatia. Sina ndoto ya ukuu wa wilaya, ukurugenzi wala uwaziri. Najaribu tu kutumia haki yangu ya kutoa maoni kadri ninavyoyaona mambo ya nchi yetu.

Sihitaji cheo wala kitu chochote, ninachopinga ni hiki anachokisema mleta mada kwamba muda wa kufanya siasa za kistaarabu umekwisha, yaani ni kama anahamasisha watu waingie mtaani wafanye fujo!!.

Bado naamini tatizo lipo kwenye namna vyama vya upinzani vinavyokosa watu wanaoweza kuja na ideas mbadala kiasi ambacho CCM ikaonekana haifanyi la maana kwa wananchi. Baada ya uchaguzi wa 2015 CCM imefanya mapinduzi mengi ya ndani ya chama, CDM na wengine wameshindwa kuja kivingine, na inawagharimu.
 
Hivi Mungiki sera yao ilikuwaje
/
 
Mkuu sehemu yoyote huku duniani kama kuna machafuko jua kabisa kuna ukiukwaji ama wa haki za kibinadamu, ref kupotea kwa @Ben Saanane, kuuliwa kwa Alfonce Mawazo kupigwa risasi kwa kamanda Lisu..
Mkuu hii njia mbadala ya kutafuta haki(vita) imewahi kuleta suluhisho la kudumu popote pale duniani???
 

Na kwa kifupi kabisa 'Amani' inayo 'Kanuni yake ,hivyo unapo fanya kinyume na 'Kanuni' inayo zalisha hiyoAmani basi Matokeo yake ni Ghasia/Machafuko na Amanihupotea.Amani hailindwi na Mitutu ya Bunduki kama Watawala wanavyo dhani ,Haki ndio Msingi Mkuu wa 'Amani'..
 

Unaposema ccm imefanya mapinduzi toka 2015. Hayo mapinduzi na tija ni maisha ya wananchi, na sehemu ya kuonyesha mwitikio wa wananchi ni hizi chaguzi ndogo wangalau kwa sasa. Lakini ni ukweli ulio dhahiri box la kura haliheshimiwi na ushahidi upo. Sasa katika mazingira hayo unatuaminishaje kama hayo mapinduzi ndani ya ccm wananchi wameona tija yake huko eneo la tathmini ambayo ni watu kupitia kura hapaheshimiwi?

Sasa hvi hakuna mijadala ya wazi yenye kuweza kukosoa zaidi ya mijadala ya kusifia. Kuna mambo mengi hayako sawa na ni mwiko hayo kujadiliwa kwa kisingizio kwamba rais anafanya vyema. Sasa hivi sehemu pekee unapoweza kuona mijadala huru ni huku vichochoroni (social media) ambapo ID fake zimetamalaki. Ni kweli kuna mazuri machache yaliyofikiwa, lakini kwanini si ruhusa hayo mapungufu kujadiliwa wazi? Huu wizi wa kura, sorry uporaji wa kura unafanyika wazi kwani wanaofanya hivyo wana uhakika hakuna nguvu ya kuhoji. Huyu muanzisha uzi ni mmoj tu kati ya wengi wasiokubaliana na mwenendo mzima wa demokrasia. Na hii tabia yenu ya kukalia uovu kimya kisa unafanyw na unayemshabikia sio poa.

Mabadiliko ndani ya upinzani yanakuathiri nini ww? je wapinzani kutokufanya mabadiliko kwa utashi wa ccm ndio kuhalalishe wao kufanyiwa ukatili kwa matumizi mabaya ya cheo cha urais? Ingekuwa hayo mabadiliko yanayohubiriwa na ccm yafanyike ndani ya upinzani yana athari kwenye maisha ya wananchi ningekuelewa. Sasa mnasema ccm imebadilika inakuwaje itoke kwenye wizi wa kura mpaka uporaji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…