Uchaguzi 2020 Jambo wanalopaswa kufahamu CHADEMA, ni kwamba muda wa kufanya siasa za kistaarabu umekwisha

Niko Fonti Feji.
Ila ukweli ndio huo, Chadem ni magaidi tu nao halali yao ni kupigwa tu. Tutawapiga na kuwapiga kila pale mtakapokuwa mnaenda kinyumé na taratibu za Nchi. Chadema hawana haki na nchi yetu.
Makaburu walisema hivyohivyo. Walikuwa na maguvu mara elfu kuliko nyinyi.
 
Wananchi wanataka maendeleo na sio siasa za maneno matupu ambazo zilikisha kuzoelekwe miongoni mwa viongozi wetu. Chadema wananchi waliwaamini wakawapa baadhi ya majimbo pamoja na almashauri, ilikuwa niwakati sasa wao kuonesha uwezo wao wakulete maendeleo kwenye almashauri wanazoziongoza, lakini badala yake wao kila kukicha wanatafuta visingizio kwamba wamenyimwa demokrasia. Demokrasia sio kuachiwa kuzunguka nchi nzima na kutoa maneno ya kashfa kwa utawala, demokrasia ya kweli ni kupambana na changamoto zinazo ikabili jamii yako huko jimbon. Kama Chadema hawatabalika na kuendelea kusingizia demokrasia 2020 wananchi watawaadhibu vikali maana ni wananchi wachache wanaoelewa huu wimbo mnaoimba sasa wengi wanataka maendeleo.
 
Kwaiyo
unataka wafanye Fujo na kuhatarisha amani ya nchi? Tutawadeal
 
Mkuu hongera kwanza kwa hoja.
hili jambo nalitaka sana na hawa polisi wanaojua kuonea sana wananchi mwisho wao uko karibu kufika natamani tungekuwa na uhuru wa kumiliki japo bastola bila uangalizi nadhani heshima ingekuwa kati ya mwananchi na mla kodi(polisi).
TATIZO BAADHI YA TANZANIA NI NJAA TU NA HAWANA UDHALENDO NA WENGINE FAMILIA ZAO ZINAKULA PESA ZA UIZI BUT ANAYEUMIA NI MWANANCHI WA KAWAIDA.
Museveni alionja joto kidogo iyo ilizihirisha nguvu ya wananchi hata wachache wakiamua.
 
Niko Fonti Feji.
Ila ukweli ndio huo, Chadem ni magaidi tu nao halali yao ni kupigwa tu. Tutawapiga na kuwapiga kila pale mtakapokuwa mnaenda kinyumé na taratibu za Nchi. Chadema hawana haki na nchi yetu.
Na CCM ndo waalimu wa magaidi! No afadhali kufanya kitu kitakachorudisha heshima japo maumivu yatakuwapo.
 
Niko Fonti Feji.
Ila ukweli ndio huo, Chadem ni magaidi tu nao halali yao ni kupigwa tu. Tutawapiga na kuwapiga kila pale mtakapokuwa mnaenda kinyumé na taratibu za Nchi. Chadema hawana haki na nchi yetu.
MANENO kuntu walahi
Hahahaha
 

umenisemea mkuu
hivi vitu vinatia hasirA sana mkuu dahh 🤦🏼‍♂️🤦🏼‍♂️🤦🏼‍♂️
 
Reactions: Sax
Nchi zinazopigana na watu kuwa magaidi hawakuzaliwa hivyo lakini ili sababishwa na watu wa pumbavu kama ambao wanaongoza izi nchi za kiafrika na mafans wao ambao wasomi ni mafala bora ambao hawakusoma na baadhi yao wapo humu wanacomment upumbavu wakati mwananchi wahali ya chini anaangamia alafu mtu anasema usenge mbele kwa mbele.
SASA NAONA UMUHIMU WA ALSHABAB.
 
Mkuu rais ni binadamu kama mimi na wewe, lakini anaapa. Sio kila mtu anayeapa.

Hizi ni taratibu za kiuongozi za dunia nzima, na hazijaanza leo wala jana, kabla Yesu hajazaliwa zilikuwepo na akaziacha. Mimi na wewe tutaziacha pia. Huwezi kuzikwepa. Hakuna mtu anayemuabudu binadamu mwenzake. ni suala la maadili ya kimaisha, ambayo tutakufa na tutayaacha yakiendelea kuwaongoza watakaokuwepo nyakati hizo.

Ni suala la heshima tu, na sio zaidi ya hapo.
 
JK wala hakuwahi kusema hajatendewa haki, tena alienda mbali zaidi akawa anakutana na washindani wake kisiasa!

Huyu mlevi, nduli mnasema analeta maendeleo, yepi hayo?
Kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa kwao?
Wewe endelea kukaa mbele ya laptop yako halafu utegemee kuyaona maendeleo au mabadiliko,

Wewe endelea kuishi mijini bila ya kutembea nchi nzima halafu tegemea kuyaona mabadiliko.

Huwezi kuishi kwa fitina za kisiasa halafu mbinu hiyo ikadumu daima.
 
Wewe endelea kukaa mbele ya laptop yako halafu utegemee kuyaona maendeleo au mabadiliko,

Wewe endelea kuishi mijini bila ya kutembea nchi nzima halafu tegemea kuyaona mabadiliko.

Huwezi kuishi kwa fitina za kisiasa halafu mbinu hiyo ikadumu daima.
Mtanguliza tumbo kwa kila kitu! Polee
 
Ukisoma comments za watz kwenye issues nyeti kama hizi, ndipo unapojua kiwango cha hali ya juu kabisa cha ujinga walichonaco.

Watz ni kama wanyama, hawawezi tofautisha jema na baya.
 
Ukisoma comments za watz kwenye issues nyeti kama hizi, ndipo unapojua kiwango cha hali ya juu kabisa cha ujinga walichonaco.

Watz ni kama wanyama, hawawezi tofautisha jema na baya.

kivip mkuu, plz fafanua
 
Ukisoma comments za watz kwenye issues nyeti kama hizi, ndipo unapojua kiwango cha hali ya juu kabisa cha ujinga walichonaco.

Watz ni kama wanyama, hawawezi tofautisha jema na baya.
Matunda ya ccm hayo..

Mkuu, kuwanyima shule Watanzania....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…