Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Mkuu hii njia mbadala ya kutafuta haki(vita) imewahi kuleta suluhisho la kudumu popote pale duniani???
Hii sio njia nzuri na kila mtu anaelewa hilo. Lakini inapokuwa ndio njia pekee basi hutumika. Na nchi nyingi za kiafrika zimepata uhuru wao kupitia njia hii. Hata Africa kusini weusi walipata usawa baada ya mapambano makali. kama maendeleo ni kipimo cha mtu kukaa madarakani basi huko Africa kusini ilitakiwa hao weupe wawe madarakani mpaka leo, na weusi wasubiri mpaka siku wazungu wakubali majadiliano. Huu muda unaopoteza hapa kakae kikao chenu cha ndani na wenzako uwaambie watii matakwa ya watu kupitia box la kura.