walicheza kwa woga kwa kuogopa pandemic
Binafsi naona fedhea sana, yaani naomba tff walitazame hili kwa umakini sana haiwezekani simba kucheza ligi moja na yanga, yani redio inayoitangaza yanga inaishia kivule, huku misri habari ya mjini ni simba.Nasikia aibu sana kuona Luis Missiquone kucheza ligi moja na Nchimbi, ni aibu.
Nakonea huruma tukikutana na nyie zile tano znarudi safari hiiJana nimekaa sana nikajiuliza; Hivi hawa FC AL Ahly wana mfahamu kwamba jana wamecheza na timu ya pili kwenye msimamo wa ligi kuu Tanzania?
Hivi hawajajiuliza kama timu ya pili balaa lake ni hivyo, Je timu ya kwanza kwenye msimamo ni balaa kiasi gani?
Kwa hesabu za haraka haraka kocha wao anahisi timu ya kwanza itakuwa ni bayern miksa man city na katikati ina bruno mutayoba fernandez. Ni vyema walipatiwa wacheze na namba mbili kuepuka fedheha.
NB: Kabla hujakomenti paka sanitaiza
Au Ruvu shootingWamewauliza Kagera kuhusu hiyo timu ya kwanzaβ¦
Haya ni matumizi mabaya ya akiliFootball rumours: Mabingwa na kihistoria wa africa mashariki na kati, Yanga Africa Yanga umoja wa mataifa ipo kwenye hatua za mwisho kukamilisha sahihi ya Mshambuliaji Divock Origi kutokea FC liverpool ya uingereza ili aweze kutua dirisha kubwa la usajili.
π€£π€£π€£π€£Wanajua sana tena sana, kwamba timu inayoongoza ligi ina washambuliaji hatari Fiston na Sarpong πππ
Kabla hujanireply jifukize
Ni wapi ambapo hakuna pandemic?walicheza kwa woga kwa kuogopa pandemic
Lucy Missiquone ndiyo nani?Nasikia aibu sana kuona Luis Missiquone kucheza ligi moja na Nchimbi, ni aibu.
Kawaulize al ahly wanamjua vyema.Lucy Missiquone ndiyo nani?
Kawaulize al ahly wanamjua vyema.
Kwani wewe kwa akili yako wewe kama wewe unaonaje kiwango cha team ya pili vs team ya kwanza??Jana nimekaa sana nikajiuliza; Hivi hawa FC AL Ahly wana mfahamu kwamba jana wamecheza na timu ya pili kwenye msimamo wa ligi kuu Tanzania?
Hivi hawajajiuliza kama timu ya pili balaa lake ni hivyo, Je timu ya kwanza kwenye msimamo ni balaa kiasi gani?
Kwa hesabu za haraka haraka kocha wao anahisi timu ya kwanza itakuwa ni bayern miksa man city na katikati ina bruno mutayoba fernandez. Ni vyema walipatiwa wacheze na namba mbili kuepuka fedheha.
NB: Kabla hujakomenti paka sanitaiza
Kwani wewe kwa akili yako wewe kama wewe unaonaje kiwango cha team ya pili vs team ya kwanza??
hahaha iyo id yako mkuu imenichekesha imenikumbusha sumbawanga nimecheka mpak nimekaa chinWanajua sana tena sana, kwamba timu inayoongoza ligi ina washambuliaji hatari Fiston na Sarpong πππ
Kabla hujanireply jifukize
Ha ha haa! Yule kichaa enzi za utoto wetu tumemtania sana alipokuwa akikatiza kitaa, akipita tu tunamuita pweee, basi anamaindi kinoma ha ha haa, nasi watoto tunafurahi akimaindihahaha iyo id yako mkuu imenichekesha imenikumbusha sumbawanga nimecheka mpak nimekaa chin