Jambo wasiolijua Al Ahly kuhusu Tanzania

Jambo wasiolijua Al Ahly kuhusu Tanzania

Nasikia aibu sana kuona Luis Missiquone kucheza ligi moja na Nchimbi, ni aibu.
Binafsi naona fedhea sana, yaani naomba tff walitazame hili kwa umakini sana haiwezekani simba kucheza ligi moja na yanga, yani redio inayoitangaza yanga inaishia kivule, huku misri habari ya mjini ni simba.

Sent from my itel A12 using JamiiForums mobile app
 
Jana nimekaa sana nikajiuliza; Hivi hawa FC AL Ahly wana mfahamu kwamba jana wamecheza na timu ya pili kwenye msimamo wa ligi kuu Tanzania?

Hivi hawajajiuliza kama timu ya pili balaa lake ni hivyo, Je timu ya kwanza kwenye msimamo ni balaa kiasi gani?

Kwa hesabu za haraka haraka kocha wao anahisi timu ya kwanza itakuwa ni bayern miksa man city na katikati ina bruno mutayoba fernandez. Ni vyema walipatiwa wacheze na namba mbili kuepuka fedheha.

NB: Kabla hujakomenti paka sanitaiza
Nakonea huruma tukikutana na nyie zile tano znarudi safari hii
 
Hawa wasudani tungewaletea yanga wangepigwa 9. Wabovu sana, sema kakutana na mshindi wa 2 ligi kuu
 
Jana nimekaa sana nikajiuliza; Hivi hawa FC AL Ahly wana mfahamu kwamba jana wamecheza na timu ya pili kwenye msimamo wa ligi kuu Tanzania?

Hivi hawajajiuliza kama timu ya pili balaa lake ni hivyo, Je timu ya kwanza kwenye msimamo ni balaa kiasi gani?

Kwa hesabu za haraka haraka kocha wao anahisi timu ya kwanza itakuwa ni bayern miksa man city na katikati ina bruno mutayoba fernandez. Ni vyema walipatiwa wacheze na namba mbili kuepuka fedheha.

NB: Kabla hujakomenti paka sanitaiza
Kwani wewe kwa akili yako wewe kama wewe unaonaje kiwango cha team ya pili vs team ya kwanza??
 
Wanajua sana tena sana, kwamba timu inayoongoza ligi ina washambuliaji hatari Fiston na Sarpong 😂😂😂
Kabla hujanireply jifukize
hahaha iyo id yako mkuu imenichekesha imenikumbusha sumbawanga nimecheka mpak nimekaa chin
 
hahaha iyo id yako mkuu imenichekesha imenikumbusha sumbawanga nimecheka mpak nimekaa chin
Ha ha haa! Yule kichaa enzi za utoto wetu tumemtania sana alipokuwa akikatiza kitaa, akipita tu tunamuita pweee, basi anamaindi kinoma ha ha haa, nasi watoto tunafurahi akimaindi
 
Back
Top Bottom