Jambo zuri alilowahi kukufanyia mpenzi wako

Jambo zuri alilowahi kukufanyia mpenzi wako

Buntungwa

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2010
Posts
549
Reaction score
307
Wakuu habari za saizi,

Wakazi wa Dar niwape hongera au poleni na mvua? To day Dar iko powa sana hali ya hewa inaruhusu.

Kutokana na hali ya hewa kuwa nzuri tuambie jambo zuri alilowahi kukufanyia au kukwambia umpendae.

Mimi hunishika vidole vya miguu na unyayo wako huwa nafurahi sana kunasiku huwa ananiambia niwahi kurudi home, sifanyi kosa narudi fast huwa napenda sana.


Ok nawewe tiririka ya kwako mkuu
 
Yapo mengi lakini jambo muhimu na ambalo alinipa suprise ni zawadi ya T-shirt Nyeupe( manga/hot basic). Hakuwa mpenda fedha wala vijisenti Aisha wangu yule.

Nadhani alinichunguza yakwamba napenda T-shirt hasa nikiwa free hivyo akanifanyia surprise ambayo Mimi mwenyewe niliipenda.

Ebwana we Mtoto alikuwa hatari sura kamaanakuita shepu sasa salale!! Jamani Jamani Kuna watu wamejaliwa uzuri yote tisa kumi kitandani mtoto analia kama Mtoto mchanga,viuno kama baikoko ya sahare walahi mie nilifaidi raha ya mapenzi Kijana wa kinyamwezi mimi.


Nakiri Mimi Alisina Kuna mambo mengi nilifanya yakukuumiza moyo sana binti Aisha,Nasikia sasa umeolewa na unamtoto mmoja.


Nakutakia maisha mema na marefu huko uliko.
 
Back
Top Bottom