Hii habari imekuja wakati muafaka
Kwakweli toka nazaliwa mwaka huu ndio nimeoga Mara chache kuliko miaka yote ni zaidi ya nusu mwaka sijaoga ( chini ya Siku180 )
Nnachomshukuru mungu mwili wangu hautoi harufu, kunakipindi nlikuwa naoga x2 kwa wiki🚮
🚶🚶🚶