James Kabarebe na Jack Nzinza waonesha nia ya kugombea urais 2024

James Kabarebe na Jack Nzinza waonesha nia ya kugombea urais 2024

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Majenerali na makada wa RPF Jack Nzinza na James Kabarebe wameonesha nia yao waziwazi ya kutaka kumpokea kijiti komredi mwenzao Paul Kagame uchaguzi ujao, 2024.

Wanadai mpaka hapo Kagame alipoifikisha nchi inatosha , na Sasa ni wakati wa wao kuipeleka mbele kidogo alipoishia mwamba.

Bila shaka Kagame atazipokea taarifa hizi kwa mikono miwili. Nitazidi kuwataarifu kila kinachojiri. Naripoti kutoka pembezoni mwa ziwa Kivu
 
Majenerali na makada wa RPF Jack Nzinza na James Kabarebe wameonesha nia yao waziwazi ya kutaka kumpokea kijiti komredi mwenzao Paul Kagame uchaguzi ujao, 2024.

Wanadai mpaka hapo Kagame alipoifikisha nchi inatosha , na Sasa ni wakati wa wao kuipeleka mbele kidogo alipoishia mwamba.

Bila shaka Kagame atazipokea taarifa hizi kwa mikono miwili. Nitazidi kuwataarifu kila kinachojiri. Naripoti kutoka pembezoni mwa ziwa Kivu

Source ingependeza zaidi maana hii imekaa kama vile dokta hatagombea 2025. Kwa Afrika hii? Thubutu!
 
Majenerali na makada wa RPF Jack Nzinza na James Kabarebe wameonesha nia yao waziwazi ya kutaka kumpokea kijiti komredi mwenzao Paul Kagame uchaguzi ujao, 2024.

Wanadai mpaka hapo Kagame alipoifikisha nchi inatosha , na Sasa ni wakati wa wao kuipeleka mbele kidogo alipoishia mwamba.

Bila shaka Kagame atazipokea taarifa hizi kwa mikono miwili. Nitazidi kuwataarifu kila kinachojiri. Naripoti kutoka pembezoni mwa ziwa Kivu
Wapo Rwanda au nje?
Maana kama wapo Rwanda,they are dead men walking!
 
Kagame alivyo muoga hapo ameshaanza kufunga mipaka na kuwanyang'anya hati za kusafiria, lakini amechelewa sana tu maana Jen Kabarebe na rafiki yake wanajua yajao na wao ndio wataikomboa Rwanda kiuhalisia kabisa sio maigizo ya njiti
 
Majenerali na makada wa RPF Jack Nzinza na James Kabarebe wameonesha nia yao waziwazi ya kutaka kumpokea kijiti komredi mwenzao Paul Kagame uchaguzi ujao, 2024.

Wanadai mpaka hapo Kagame alipoifikisha nchi inatosha , na Sasa ni wakati wa wao kuipeleka mbele kidogo alipoishia mwamba.

Bila shaka Kagame atazipokea taarifa hizi kwa mikono miwili. Nitazidi kuwataarifu kila kinachojiri. Naripoti kutoka pembezoni mwa ziwa Kivu
Muda si mrefu watahusiswa na Mauaji ya Kimbari!
 
Siamini na sitaamini
IMG_20221201_121503.jpg


Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
..je, kati yao kuna mhutu?

..mimi namfagilia zaidi Dr.Donald Kaberuka.
 
Majenerali na makada wa RPF Jack Nzinza na James Kabarebe wameonesha nia yao waziwazi ya kutaka kumpokea kijiti komredi mwenzao Paul Kagame uchaguzi ujao, 2024.

Wanadai mpaka hapo Kagame alipoifikisha nchi inatosha , na Sasa ni wakati wa wao kuipeleka mbele kidogo alipoishia mwamba.

Bila shaka Kagame atazipokea taarifa hizi kwa mikono miwili. Nitazidi kuwataarifu kila kinachojiri. Naripoti kutoka pembezoni mwa ziwa Kivu
mtu chake zitto junior Moronight walker tieni neno hapa tafadhali...

Japo habari kama hii bila chanzo ni udaku tu.
 
Ngoja tuulize Watu wa Urugwiro wamepokea vipi taarifa hii.
 
Majenerali na makada wa RPF Jack Nzinza na James Kabarebe wameonesha nia yao waziwazi ya kutaka kumpokea kijiti komredi mwenzao Paul Kagame uchaguzi ujao, 2024.

Wanadai mpaka hapo Kagame alipoifikisha nchi inatosha , na Sasa ni wakati wa wao kuipeleka mbele kidogo alipoishia mwamba.

Bila shaka Kagame atazipokea taarifa hizi kwa mikono miwili. Nitazidi kuwataarifu kila kinachojiri. Naripoti kutoka pembezoni mwa ziwa Kivu
Badilisha hapo ni Kabalebe na sio Kabarebe
 
JACK nzinza huyo ndiye alitungua ndege 6/4/1994 majira ya saa 2 jioni, alitumia 16 IGLA RUSSIA made surface to air missile, eneo la msaka hill.
Ndiyo iliyo trigger genocide against tutsi and Hutu committed by RPA.
MPORE #RWANDA!
1)6/04/1994: #KAGAME shot-down a Plane, killed 2 African Presidents
2) 6/04/2021: 10 Millions Victims in his 2 Genocides
#RwandanGenocide (Against Hutus +Against Tutsis)
#CongoleseGenocide (Against DRC People)
3) #KAGAME is still protected
RIP to all victims !
@UN https://t.co/8kcEMWVcGc
 
Back
Top Bottom