James Kabarebe na Jack Nzinza waonesha nia ya kugombea urais 2024

James Kabarebe na Jack Nzinza waonesha nia ya kugombea urais 2024

20221219_223834.jpg
 
Majenerali na makada wa RPF Jack Nzinza na James Kabarebe wameonesha nia yao waziwazi ya kutaka kumpokea kijiti komredi mwenzao Paul Kagame uchaguzi ujao, 2024.

Wanadai mpaka hapo Kagame alipoifikisha nchi inatosha , na Sasa ni wakati wa wao kuipeleka mbele kidogo alipoishia mwamba.

Bila shaka Kagame atazipokea taarifa hizi kwa mikono miwili. Nitazidi kuwataarifu kila kinachojiri. Naripoti kutoka pembezoni mwa ziwa Kivu
Wajiandalie majeneza kabisa
 
Angalia mkuu, usije wasagia sumu majenerali hao. Maana Kagame si mchezo.
 
Kwani yule dada aliyegombea last time aliishia wapi?
Diane Rwigara, masikini alizushiwa kesi za uhujumu uchumi, familia yake wakawekwa hatihati, yeye akawekwa ndani na mali za familia kutaifishwa. Kisha baada ya kukaa ndani (gerezani) muda mrefu yeye na mama yake, walilazimishwa kukiri makosa na baadaye kuachiwa huru. Hadi sasa wako under observations.
 
Victoire Ngabire, masikini alizushiwa kesi za uhujumu uchumi, familia yake wakawekwa hatihati, yeye akawekwa ndani na mali za familia kutaifishwa. Kisha baada ya kukaa ndani (gerezani) muda mrefu yeye na mama yake, walilazimishwa kukiri makosa na baadaye kuachiwa huru. Hadi sasa wako under observations.
Ni diana rwigire na mama yake
180823164426-03-rwanda-politics-video-1.jpg
Diane-Shima-Rwigara.jpg
900x506_612589.jpg
 
Mkuu

Kama ni KWELI!

Basi,HIYO ni calculated movement ya kumuingiza Ivan kagame!

Ngoja Tuone,

Jamaa anacheza na upepo uvumao keshaona,Kuwa hana Muda Tena wa kuendelea Kuwa RAIS maana wanaomfadhili wamesha signal tamati ya madikteta DUNIANI!

Nadhani mwenzake, mseven amesha muandaa kijana Wake anae onekana mtukutu kumrithi YEYE!

Muhoz kainerugaba;!
 
Back
Top Bottom