Kama amekutuma,James Lembeli achukuwa fomu kuomba kuteuliwa na @ccm_tanzania kugombea Ubunge Jimbo la Ushetu Mkoani Shinyanga kufuatia jimbo hilo kuwa wazi baada ya kufariki aliyekuwa mbunge wa Jimbo hilo marehemu Kwandikwa https://t.co/AYKdweCptq
Jibu zuri snKama amekutuma,
Muda wake umeshaisha ,mwambie aende akachunge mbuzi na wajukuu zake.
Ingefaa kama angepunzika kwa sasaJames Lembeli achukuwa fomu kuomba kuteuliwa na @ccm_tanzania kugombea Ubunge Jimbo la Ushetu Mkoani Shinyanga kufuatia jimbo hilo kuwa wazi baada ya kufariki aliyekuwa mbunge wa Jimbo hilo marehemu Kwandikwa https://t.co/AYKdweCptq
View attachment 1917779
Huyu,ni wa CCM.Lembeli wa Chadema?
Shangaa hata wewe!Kuna nini kasahau huko bungeni?
Hahah Alirudi nyumbani.Lembeli wa Chadema?
Alafu tunajiuliza kwanini Tanzania ni nchi maskini.James Lembeli achukuwa fomu kuomba kuteuliwa na @ccm_tanzania kugombea Ubunge Jimbo la Ushetu Mkoani Shinyanga kufuatia jimbo hilo kuwa wazi baada ya kufariki aliyekuwa mbunge wa Jimbo hilo marehemu Kwandikwa https://t.co/AYKdweCptq
View attachment 1917779
Huyu Mzee alishawahi kuhamia Chadema,harafu akatoka,James Lembeli achukuwa fomu kuomba kuteuliwa na @ccm_tanzania kugombea Ubunge Jimbo la Ushetu Mkoani Shinyanga kufuatia jimbo hilo kuwa wazi baada ya kufariki aliyekuwa mbunge wa Jimbo hilo marehemu Kwandikwa https://t.co/AYKdweCptq
View attachment 1917779