Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi hawa hawanaga kazi ya kufanya zaidi ya ubunge tu mtu miaka yote anataka awe mbunge tu anashindwa anarudi kichwa chote cheupe bado hajatosheka tuJames Lembeli achukuwa fomu kuomba kuteuliwa na @ccm_tanzania kugombea Ubunge Jimbo la Ushetu Mkoani Shinyanga kufuatia jimbo hilo kuwa wazi baada ya kufariki aliyekuwa mbunge wa Jimbo hilo marehemu Kwandikwa https://t.co/AYKdweCptq
View attachment 1917779
Hawa wazee ni wapuuzi snShangaa hata wewe!
Mwambie mleta Uzi aweke picha ya Lembeli ya hivi karibuni.
Tena na mtaji anaoinamaana ameshindwa kujiajiri
CCM imeweka mfumo mbovu snHuyu ndo yuleee huwa anawashauri vijana wajiajiri ...tujifunze kuwa hizi nafasi za urithi na viongozi wake, wanaosubiri wenzao wafe ili wapate nafas cyo kbs, yaani ni trash[emoji117]takataka kbs[emoji2961][emoji2961][emoji2961]
NB:/KAMA UMEZOEA KUBISHA UTABISHA TU/
Ccm watampa kwa sababu ni chademaJames Lembeli achukuwa fomu kuomba kuteuliwa na @ccm_tanzania kugombea Ubunge Jimbo la Ushetu Mkoani Shinyanga kufuatia jimbo hilo kuwa wazi baada ya kufariki aliyekuwa mbunge wa Jimbo hilo marehemu Kwandikwa https://t.co/AYKdweCptq
View attachment 1917779
KAMA MNAWATUAMBAO SIYO TAKATAKA PELEKENI WAGOMBEE BASI ACHENI UJINGA WENU MITANDAONIImagine mtu anafungua uzi kusifia bunge kuendelea kuwa na wabunge takataka!🚶🚶🚶
Hatari snKutumikia nzengo
DuFu**k dem
Serikali mbwa koko ....
Yaaaap!
Sawa mkuuYaaaap!
Washaanza kuwa mazuzu baada tu ya kuchanjwa!
NB: haya ni mawazo ya kiroho, hayana ushahidi na hayatakiwi kupingwa.