James Lembeli kurudi Bungeni kwa kishindo kupitia Jimbo la Ushetu

Huyu ndo yuleee huwa anawashauri vijana wajiajiri ...tujifunze kuwa hizi nafasi za urithi na viongozi wake, wanaosubiri wenzao wafe ili wapate nafas cyo kbs, yaani ni trash[emoji117]takataka kbs[emoji2961][emoji2961][emoji2961]
NB:/KAMA UMEZOEA KUBISHA UTABISHA TU/
 
Hivi hawa hawanaga kazi ya kufanya zaidi ya ubunge tu mtu miaka yote anataka awe mbunge tu anashindwa anarudi kichwa chote cheupe bado hajatosheka tu
 
CCM imeweka mfumo mbovu sn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…