Uchaguzi 2020 James Mbatia aitikisa Vunjo, maelfu ya wanachama wamiminika kumlaki

Uchaguzi 2020 James Mbatia aitikisa Vunjo, maelfu ya wanachama wamiminika kumlaki

NCCR Mageuzi

Member
Joined
Oct 3, 2007
Posts
23
Reaction score
63
Septemba 19, 2020 Viwanja vya Polisi Himo, Moshi mkoani Kilimanjaro viliwaka moto huku ikishuhudiwa maelfu ya wanachama wa chama cha NCCR-Mageuzi na wakaazi wa jimbo la Vunjo kutoka kila kona ya Moshi wakimiminika kwenye viwanja hivyo kumlaki na kumsindikiza mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi na Mgombea Ubunge jimbo la Vunjo Injinia Ndugu James Francis Mbatia kwenye uzinduzi wa kampeni ndani ya Jimbo la Vunjo.

Mbatia akiambatana na madiwani wa kata zote za Jimbo la Vunjo aliongoza ufunguzi wa mkutano wa kampeni kwa kueleza mambo ambayo katika kipindi cha miaka mitano iliyopita amewafanyia wana Vunjo.

IMG_8863.png
 
NCCR mlishapoteza uhalali kwa watanzania maana nyinyi ni wasaliti wa siasa za upinzani.

Mlisha kiuza chama
 
Huyu jamaa asipigiwe kura za kumwezesha kushinda,ni Bonge la msaliti,juzi kati apo kaitwa ikulu,akaenda Mbeya kwa sapot ya ikulu,huyu haaminiki kamwe
Hafai kabisa huyu na uzuri wake tayari wana vunjo washamuelewa kuwa ni mchumia tumbo.

Alafu bila aibu hata kabla ya kampeini kuanza anajitapa kuwa NCCR ndiyo sasa kinaenda kuwa KUB.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii picha imepigwa angle gani mbona watu wanaonekana kidogo sana.
 
Nccr mlisha poteza uhalali kwa watanzania maana nyinyi ni wasaliti wa siasa za upinzani.

Mlisha kiuza chama

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbatia ni mhuni tapeli na janja
Anazungumza wazi mbonaaaaa
Anasema anachotaka ni ruzuku na kupata nafasi ya viti maalumu otherwise yeye si mpinzani
Anabembea fulu huyu na yule wa Kawe ni sawa wanapishana padogoooo
Shida yetu wamama tunadanganyika kwa vitu vidogo
 
Yuda Iskarioti wa Tanzania anavuna alichopanda , akifuatiwa na Yuda Iskarioti wa namba mbili Lipumba raia wamewashtukia .
 
Back
Top Bottom