Uchaguzi 2020 James Mbatia aitikisa Vunjo, maelfu ya wanachama wamiminika kumlaki

Uchaguzi 2020 James Mbatia aitikisa Vunjo, maelfu ya wanachama wamiminika kumlaki

Huyu jamaa asipigiwe kura za kumwezesha kushinda,ni Bonge la msaliti,juzi kati apo kaitwa ikulu,akaenda Mbeya kwa sapot ya ikulu,huyu haaminiki kamwe
Ikulu ni ya watanzania wote, kwahiyo chadema mkiingia ikulu wapinzani hawataruhusiwa kuja ikulu? Na hamtashirikiana nao kwa namna yoyote kisa wataitwa wasaliti?
 
Shemeji ZANGU msiniangushe kupigia kura huyu tapeli na saliti.
 
Septemba 19, 2020 Viwanja vya Polisi Himo, Moshi mkoani Kilimanjaro viliwaka moto huku ikishuhudiwa maelfu ya wanachama wa chama cha NCCR-Mageuzi na wakaazi wa jimbo la Vunjo kutoka kila kona ya Moshi wakimiminika kwenye viwanja hivyo kumlaki na kumsindikiza mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi na Mgombea Ubunge jimbo la Vunjo Injinia Ndugu James Francis Mbatia kwenye uzinduzi wa kampeni ndani ya Jimbo la Vunjo.

Mbatia akiambatana na madiwani wa kata zote za Jimbo la Vunjo aliongoza ufunguzi wa mkutano wa kampeni kwa kueleza mambo ambayo katika kipindi cha miaka mitano iliyopita amewafanyia wana vunj
View attachment 1575180
Hivi alikuwa wapi? Kwenye misafara ya Jiwe?
 
Hafai kabisa huyu na uzuri wake tayari wana vunjo washamuelewa kuwa ni mchumia tumbo.

Alafu bila aibu hata kabla ya kampeini kuanza anajitapa kuwa NCCR ndiyo sasa kinaenda kuwa KUB.

Sent using Jamii Forums mobile app
Braza,huyu mchumia tumbo awe KUB labda kwa mbereko ya boss wake,tabu ni pale,jiwe anamhitaji sana Kimei
 
Mbona wachaga kwenye picha hawana nuru
Septemba 19, 2020 Viwanja vya Polisi Himo, Moshi mkoani Kilimanjaro viliwaka moto huku ikishuhudiwa maelfu ya wanachama wa chama cha NCCR-Mageuzi na wakaazi wa jimbo la Vunjo kutoka kila kona ya Moshi wakimiminika kwenye viwanja hivyo kumlaki na kumsindikiza mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi na Mgombea Ubunge jimbo la Vunjo Injinia Ndugu James Francis Mbatia kwenye uzinduzi wa kampeni ndani ya Jimbo la Vunjo.

Mbatia akiambatana na madiwani wa kata zote za Jimbo la Vunjo aliongoza ufunguzi wa mkutano wa kampeni kwa kueleza mambo ambayo katika kipindi cha miaka mitano iliyopita amewafanyia wana vunj
View attachment 1575180
 
Ukweli ni kwamba alikodi hiace, coaster zote vunjo zilete watu kwenye mkutano, magari yakawa mengi kuliko watu. Mbatia hakubaliki vunjo.
IMG_1600687530.445341.jpg
IMG_1600687545.129160.jpg
IMG_1600687563.721740.jpg
IMG_1600687574.581324.jpg
IMG_1600687595.282045.jpg
 
Septemba 19, 2020 Viwanja vya Polisi Himo, Moshi mkoani Kilimanjaro viliwaka moto huku ikishuhudiwa maelfu ya wanachama wa chama cha NCCR-Mageuzi na wakaazi wa jimbo la Vunjo kutoka kila kona ya Moshi wakimiminika kwenye viwanja hivyo kumlaki na kumsindikiza mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi na Mgombea Ubunge jimbo la Vunjo Injinia Ndugu James Francis Mbatia kwenye uzinduzi wa kampeni ndani ya Jimbo la Vunjo.

Mbatia akiambatana na madiwani wa kata zote za Jimbo la Vunjo aliongoza ufunguzi wa mkutano wa kampeni kwa kueleza mambo ambayo katika kipindi cha miaka mitano iliyopita amewafanyia wana vunj
View attachment 1575180
maelfu? hawa? like seriously?
 
Wale
Mbona watu wachache sana tofauti na mkutano wa Dr Kimei?
Wale Dr Kimei walepelekwa na mabasi kutoka rombo na mwanga kwenda vunjo na kurudishwa walikotoka baada ya mkutano.pia mbatia kwenda kuwachukua wale wale wa Kimei.
 
Huyu jamaa asipigiwe kura za kumwezesha kushinda,ni Bonge la msaliti,juzi kati apo kaitwa ikulu,akaenda Mbeya kwa sapot ya ikulu,huyu haaminiki kamwe
Huyo anatumika huyo
 
Septemba 19, 2020 Viwanja vya Polisi Himo, Moshi mkoani Kilimanjaro viliwaka moto huku ikishuhudiwa maelfu ya wanachama wa chama cha NCCR-Mageuzi na wakaazi wa jimbo la Vunjo kutoka kila kona ya Moshi wakimiminika kwenye viwanja hivyo kumlaki na kumsindikiza mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi na Mgombea Ubunge jimbo la Vunjo Injinia Ndugu James Francis Mbatia kwenye uzinduzi wa kampeni ndani ya Jimbo la Vunjo.

Mbatia akiambatana na madiwani wa kata zote za Jimbo la Vunjo aliongoza ufunguzi wa mkutano wa kampeni kwa kueleza mambo ambayo katika kipindi cha miaka mitano iliyopita amewafanyia wana vunj
View attachment 1575180
Mbatia huyu huyu wa "Mama yetu mzazi Tanzania"?

Get the fvck outta here!
 
Huyu dada mwenye suluari RED sijui ana maanisha nini sasa kwa mgombea wake.
 
Septemba 19, 2020 Viwanja vya Polisi Himo, Moshi mkoani Kilimanjaro viliwaka moto huku ikishuhudiwa maelfu ya wanachama wa chama cha NCCR-Mageuzi na wakaazi wa jimbo la Vunjo kutoka kila kona ya Moshi wakimiminika kwenye viwanja hivyo kumlaki na kumsindikiza mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi na Mgombea Ubunge jimbo la Vunjo Injinia Ndugu James Francis Mbatia kwenye uzinduzi wa kampeni ndani ya Jimbo la Vunjo.

Mbatia akiambatana na madiwani wa kata zote za Jimbo la Vunjo aliongoza ufunguzi wa mkutano wa kampeni kwa kueleza mambo ambayo katika kipindi cha miaka mitano iliyopita amewafanyia wana vunj
View attachment 1575180
Lazima pipa za mbege haziko mbali na hapo ... na k vanti yakupunguzua gesi. Ndo maana
 
Back
Top Bottom